Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Huyu hana gharama maana ni wa kienyeji na utamu wake kiama kaka...Huhitaji kwenda Steers kumtafuta au Posta yupo tu kila ukimhitaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwi kwi kwi we acha tu hila kuku mwenyewe amjuae mfugaji tu.Hili swali limekuwa likinitatiza sana.. kwanini kuna raha ya aina fulani kufukuza kuku wa kienyeji kabla ya kumfanya kitoweo?
Hili swali limekuwa likinitatiza sana.. kwanini kuna raha ya aina fulani kufukuza kuku wa kienyeji kabla ya kumfanya kitoweo?
Kuku wa kienyeji nijuavyo mimi ni msemo utumikao kuwahusu wadada wale ambao bado wako " raw"... wa kijijini au peri-urban..ambao hawajajanjaruka na mambo ya mjini! This explains why mjadala uko kwenye jukwaa hili.wakuu,
sasa huyu kuku anaingiaje kwenye hili jukwaa maridhawa la MMU?....
Kuku wa kienyeji nijuavyo mimi ni msemo utumikao kuwahusu wadada wale ambao bado wako " raw"... wa kijijini au peri-urban..ambao hawajajanjaruka na mambo ya mjini! This explains why mjadala uko kwenye jukwaa hili.
MMKJJ..am i correct?
wakuu,
sasa huyu kuku anaingiaje kwenye hili jukwaa maridhawa la MMU?....
hilo si ndio jibu sasa Goeff??
afu kumbuka mtoa mada ni mzee na unajua wazee wanalugha tata!!
halafu wanavojua kudangaya watoto wadogo basi B! bora wewe umekuwa kua binamy yangu HUDANGANYIKI
sidanganyikiiiiiiiiiiiii!!!!! wa ukweli fasihi hainipiki chenga na hizi twisheni zako za kila wiki binamu nimeadvansi kweli kweli!!!
eti kuku Goeff thinks its a real kuku wa kienyeji..........
Kwanza wakati akimbiapo,unamuona kwa nyuma anavyochezesha mkia wake,alafu chenga atakazo kuwa anakupiga zitafanya ufurahi maana wakati mwingine chenga hizo ni ndogo sana kiasi kwamba ungeweza kumksmata,lkn ukishamkamata si unajua hana tena nguvu ya kukimbia?nadhani unajua kitakacho fuata kitoweo tu then baada ya kula unalala chali kwa uchovu wa kushiba!
halafu wanavojua kudangaya watoto wadogo basi B! bora wewe umekuwa kuwa binamu yangu HUDANGANYIKI
hahahaha kaka bwana bado tu!?
hawa kuku wetu hawa yaani hawa kuku wetu hawa kuna raha yake hasa huyu wa kienyeji wakati unamkimbiza, wakati mwingine anarukia mibani unasita kidogo baadaye unamuona anakuja usawa wako mwenyewe anajaribu kuruka juu pembeni akitua tu unae, analia pale baada ya mda ananyamaza unamweka kwapani hadi home, unaanda kisu na mahali pa kumchinjia,
ukimshika shingoni na kuwmachia unaona macho yanalegea, na wazuri sana ni wale ambao hawajataga.
Na kama kitendo cha kumla kuku kama ni kitendo chema kwanini kuku akimbie kuokoa uhai wake? Naskia uvundo hapa.
Kuku wa kienyeji nijuavyo mimi ni msemo utumikao kuwahusu wadada wale ambao bado wako " raw"... wa kijijini au peri-urban..ambao hawajajanjaruka na mambo ya mjini! This explains why mjadala uko kwenye jukwaa hili.
MMKJJ..am i correct?
sidanganyikiiiiiiiiiiiii!!!!! wa ukweli fasihi hainipiki chenga na hizi twisheni zako za kila wiki binamu nimeadvansi kweli kweli!!!
eti kuku Goeff thinks its a real kuku wa kienyeji..........