Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Hili swali limekuwa likinitatiza sana.. kwanini kuna raha ya aina fulani kufukuza kuku wa kienyeji kabla ya kumfanya kitoweo?
Raha ni pale unapomkimbiza halafu akachoka na kuelekea kujificha miguuni kwako ........Hili swali limekuwa likinitatiza sana.. kwanini kuna raha ya aina fulani kufukuza kuku wa kienyeji kabla ya kumfanya kitoweo?
..unaposema ''kuku wa kienyeji'' unamaanisha nin mzee mwenzangu?Hili swali limekuwa likinitatiza sana.. kwanini kuna raha ya aina fulani kufukuza kuku wa kienyeji kabla ya kumfanya kitoweo?
Hili swali limekuwa likinitatiza sana.. kwanini kuna raha ya aina fulani kufukuza kuku wa kienyeji kabla ya kumfanya kitoweo?
sasa wajameni mnamzungumzia kuku ninaemfahamu mimi au?...!Kwanza wakati akimbiapo,unamuona kwa nyuma anavyochezesha mkia wake,alafu chenga atakazo kuwa anakupiga zitafanya ufurahi maana wakati mwingine chenga hizo ni ndogo sana kiasi kwamba ungeweza kumksmata,lkn ukishamkamata si unajua hana tena nguvu ya kukimbia?nadhani unajua kitakacho fuata kitoweo tu then baada ya kula unalala chali kwa uchovu wa kushiba!
Huyo huyo!sasa wajameni mnamzungumzia kuku ninaemfahamu mimi au?...!
sasa wajameni mnamzungumzia kuku ninaemfahamu mimi au?...!
sasa wajameni mnamzungumzia kuku ninaemfahamu mimi au?...!
Haahaa mkuu hii nimeipenda...mpaka jirani naye anajua leo kuna kuku anakimbizwa ili aje awe kitoweo!LolHahaha Mzee Mwanakijiji wewe ni kiboko, raha yake nyingine ni ku draw attention kwa majirani kwamba leo mnakula kuku si maharage tena hahaha.
nitakucheck mamahuyo huyo wa kienjyeji geoff mbn hunitumii picha?
Mzee siku hizi una mafumbo kweli!
Uzuri wa kuku wa kienyeji wala hakimbii kwenda mbali na nyumbani. Atakuzungusha hapo hapo nyumbani tu! Akiona unataka kukata tamaa, anaingia mwenyewe bandani tayari kwa kufanywa kitoweo..Lol