Mie huwa natembea kutoka shekilango mpaka tegeta, ila changamoto ni kukatiza pale lugalo, maana panachanganya sana hasa nyakati za usiku.
Kuna maeneo kuna vibao vidogo vidogo vimeandika hairuhusiwi kupita hapa sasa huwa vinanipa mashaka kidogo maana ndugu zetu wale nao huwa hawaelewi bhana.
So wakati mwingine nikifika mwenge nakodi boda mpaka bondeni kawe kisha naendeleza zoezi langu.