Kukimbia v/s kutembea Kwa weight lose

Kukimbia v/s kutembea Kwa weight lose

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2016
Posts
2,245
Reaction score
2,128
Habari za muda wana jf.

Kwa wale wapenzi wa workouts, jogging, lifting weights, HIIT cardio na abs hapa ni jukwaa letu sahihi la kujadili ana na kubadilishana mawazo.

Kwenye platform mbalimbali za mitandao ya kijamii kumekuwa na mabishano makubwa sana miongoni mwa trainers! Na mabishano hayo ni healthy kwasababu yana lengo la kuleta matokeo Kwa wahitaji.

Kati ya kukimbia na kutembea lipi ni zoezi zuri na sahihi zaidi Kwa mtu anayetaka kupungua (weight lose).

Hapa Kuna wajuzi/trainers/gurus wa mazoezi ebu tupeni miongozo.
 

Attachments

  • Screenshot_20250606-091322~2.png
    Screenshot_20250606-091322~2.png
    92.1 KB · Views: 29
Habari za muda wana jf.

Kwa wale wapenzi wa workouts, jogging, lifting weights, HIIT cardio na abs hapa ni jukwaa letu sahihi la kujadiri ana na kubadilishana mawazo.
Kwenye platform mbalimbali za mitandao ya kijamii kumekuwa na mabishano makubwa sana miongoni mwa trainers! Na mabishano hayo ni healthy kwasababu yana lengo la kuleta matokeo Kwa wahitaji.
Kati ya kukimbia na kutembea lipi ni zoezi zuri na sahihi zaidi Kwa mtu anayetaka kupungua (weight lose).
Hapa Kuna wajuzi/trainers/gurus wa mazoezi ebu tupeni miongozo.
Ongeza matatizo utakonda tu
 
Mimi huwa napenda kukimbia,nakimbia kwa wiki mara tatu jumatatu jumatano na ijumaa 10+ km per route.
Screenshot_2025-06-06-10-15-43-866_com.mi.health.jpg


Miezi minne nyuma nilikuwa na kg 85.7 nimepima wiki mbili nyuma nikawa na 78 na point kadhaa so nadhani kwa mtu anayetaka kupunguza weight haraka ajaribu hii njia kama pumzi anayo.
 
Nikikimbia nabanwa mbavu
Anza kidogo kidogo pia kuupa mwili nafasi ya kupumzika usikimbie kila siku tenga siku maalumu ndani ya week,baada ya muda utazoea hali na kuanza kuongeza umbali.

Nilianza na 1km sasa naenda 10kms,usishindane na wenzako kwenye field anza mbio zako kwa kipimo chako mwisho utazoea kwa sababu unaweza kutaka kwenda na aliyezoea km 5 kumbe yeye alishajiandaa kufika hatua hiyo muda mrefu.
 
Ukizoea kupungua au ku control uzito utauchosha sana mwili na Kuna wakati ukiacha kukimbia utapata uzito
Kutembea ni more relaxing ukiweza hii huku una Linda kile unakula Kila siku basi kutembea ni kuzuri zaidi
Binafsi nafanya zote Kuna wakati nakimbia na Kuna wakati natembea
Kukimbia kunasababisha uwaze kabla hujaanza ila kutembea ni unavaa raba unaamka unaanza mwendo huku nikiangalia vita za binadamu na maisha
Muda huu nataka niende swimming hili ni zoezi jipya nataka kulianza
Nangoja kagiza kidogo maana swimming yenyewe inajaa vijana wa hovyo sana
 
Hii ni leo 06/06
Screenshot_2025-06-07-00-28-10-348_com.mi.health.jpg

Ukipata wasaa kidogo uchangamshe changamshe mwili hata ukienda 1km siyo mbaya huwezi kufanana na aliyekaa kiti kirefu bar akiongeza sukari na kitambi.
 
Kuna nadharia ya kuwa wakati unakimbia mwili unatumia sugar kama chanzo cha Nishati badala ya mafuta lakini ukiwa unatembea kile kiasi cha oksijen kinaenda kuchoma mafuta Moja Kwa moja
Kwani mkuu hicho unachoita sukari kuwa chanzo cha nishati huyu mkimbiaji atakuwa ndiyo mwisho wake kula milo yenye sukari kwamba kesho atakosa chanzo kingine cha nishati?

Kama umri unaruhusu upo kwenye 20s mpaka 40+ kukimbia naona ndiyo kuzuri zaidi na sijui kwanini naona wanaotembea kama wavivu
 
Back
Top Bottom