Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Sumaye ni mpuuzi na mtu anayetaka sifa zisizo na maana!! Alipewa 10 good years za kuleta positive impact kwenye maisha ya watanzania, lakini akashindwa. Leo hii analeta ujinga wa kunyooshea wenzake vidole. Miaka kumi inatosha kabisa kwa kiongozi makini kuwakomboa watu wake kutoka kwenye lindi la umasikini uliopita kipimo cha utu walionao watanzania, lakini aliishia kuwa mzigo na anaendelea kuwa mzigo kwa watanzania kwa kiinua mgongo tunachompa kila mwezi.
Leo hii anazungumzia kuongezeka kwa gap kati ya masikini na matajiri, huku mfano mdogo tu wa matumizi mabaya ya fadha wakati wa kipindi chake....alikwenda nchini Kenya kwa ziara ya siku 3 na kutumia zaidi ya Tsh. milioni mia tano.
Wakati mwingine nakubaliana na Mh. Rais Kikwete anaposema kuna baadhi ya wastaafu ambao wakati wa vipindi vyao hawakufanya lolote lakini leo hii ndo wa kwanza kuwanyooshea vidole wenzao waliopo madarakani....ambao yeye anaona ni kama wivu na roho mbaya waliyonayo wastaafu hao!!
Leo hii anazungumzia kuongezeka kwa gap kati ya masikini na matajiri, huku mfano mdogo tu wa matumizi mabaya ya fadha wakati wa kipindi chake....alikwenda nchini Kenya kwa ziara ya siku 3 na kutumia zaidi ya Tsh. milioni mia tano.
Wakati mwingine nakubaliana na Mh. Rais Kikwete anaposema kuna baadhi ya wastaafu ambao wakati wa vipindi vyao hawakufanya lolote lakini leo hii ndo wa kwanza kuwanyooshea vidole wenzao waliopo madarakani....ambao yeye anaona ni kama wivu na roho mbaya waliyonayo wastaafu hao!!