Kukemea ufisadi kwamponza Sumaye

Kukemea ufisadi kwamponza Sumaye

Huyu mzee kipindi chak ndio walikuwa wasisis wa rushwa so walikuwa wakipiga madili madogomadogo, lakini kwa sasa anaona wivu wenzie wanavyopiga madili marefu ya mabilioni.
 
CCM na rushwa ni zaidi ya mbwa na chawa....au Mnywa Gongo na Gongo yake!..! Ukitaka kuondoa Gongo mtaani, lazima umwondoe kwanza mnywa Gongo...! na Gongo itatoweka, itakosa mnywaji! Ili kuiondoa Rushwa...lazima CCM kwanza ing'ooke....! Sumaye ni 'nabii wao' lakini tukumbuke na JK alishawaambia 'wenyewe' kuwa mwisho wao yaelekea ni 2015....tunaona mwelekeo taaratiib....tusubirie..
 
Mkuu nami nilitaka kuuliza namna hii SUMAYE kasahau nini kwenye Uongozi.cdhani km hata hao CCM wenzake wanamuelewa...
 
Back
Top Bottom