Kukemea ufisadi kwamponza Sumaye

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
233

Kukemea ufisadi kwamponza Sumaye

Na Tumaini Makene


Kauli ya tahadhari kuwataka Watanzania wawe makini katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31 mwaka huu, wasichague watoa rushwa na mafisadi, iliyotolewa na Waziri Mkuu mstaafu Bw Frederick sumaye inaelekea kumgharimu baada ya kuwepo taarifa kwamba imekera baadhi ya vigogo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na sasa wanapanga kumchukulia hatua.

Vyanzo vyetu vya uhakika ndani ya CCM vimeliambiua Majira kuwa baadhi ya vigogo hao wanalalamika na kutaka Sumaye aitwe na kuhojiwa na vikao vya juu vya chama hicho kwa madai kuwa matamshi yake yamekidhalilisha chama hicho.

Hivi karibuni Sumaye, ambaye alikuwa Waziri Mkuu kwa miaka kumi mfululizo chini ya serikali ya Awamu ya Tatu iliyoongozwa na Rais Benjamin Mkapa, alinukuliwa na vyombo vya habari akitoa angalizo kuwataka wananchi kuwa makini wasichague viongozi wanaotoa rushwa ili washinde uchaguzi kwaniu hawataweza kujali matatizo yao wakishaingia madarakani.


……..Chanzo chetu kimedokeza kuwa kauli hiyo ya Sumaye imewakera baadhi vigogo wa CCM huku wengine wakidai kuwa kwa nafasi yake ndani ya chama, Sumaye hakupaswa kjukemea jambo hilo hadharani ambalo CCM imekuwa ikiandamwa nalo..….


Habari zaidi ktk Majira ya leo.
 
Kukemea ufisadi kwamponza Sumaye

Na Tumaini Makene


Kauli ya tahadhari kuwataka Watanzania wawe makini katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31 mwaka huu, wasichague watoa rushwa na mafisadi, iliyotolewa na Waziri Mkuu mstaafu Bw Frederick sumaye inaelekea kumgharimu baada ya kuwepo taarifa kwamba imekera baadhi ya vigogo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na sasa wanapanga kumchukulia hatua.

Vyanzo vyetu vya uhakika ndani ya CCM vimeliambiua Majira kuwa baadhi ya vigogo hao wanalalamika na kutaka Sumaye aitwe na kuhojiwa na vikao vya juu vya chama hicho kwa madai kuwa matamshi yake yamekidhalilisha chama hicho.

Hivi karibuni Sumaye, ambaye alikuwa Waziri Mkuu kwa miaka kumi mfululizo chini ya serikali ya Awamu ya Tatu iliyoongozwa na Rais Benjamin Mkapa, alinukuliwa na vyombo vya habari akitoa angalizo kuwataka wananchi kuwa makini wasichague viongozi wanaotoa rushwa ili washinde uchaguzi kwaniu hawataweza kujali matatizo yao wakishaingia madarakani.


……..Chanzo chetu kimedokeza kuwa kauli hiyo ya Sumaye imewakera baadhi vigogo wa CCM huku wengine wakidai kuwa kwa nafasi yake ndani ya chama, Sumaye hakupaswa kjukemea jambo hilo hadharani ambalo CCM imekuwa ikiandamwa nalo..….

Habari zaidi ktk Majira ya leo.

CCM bado wako enzi ya Kolimba.

Laugh them off FTS.

Usiende wakikuita. Wachafu (mafisadi) kama nini.
 

Kukemea ufisadi kwamponza Sumaye

Na Tumaini Makene


Kauli ya tahadhari kuwataka Watanzania wawe makini katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31 mwaka huu, wasichague watoa rushwa na mafisadi, iliyotolewa na Waziri Mkuu mstaafu Bw Frederick sumaye inaelekea kumgharimu baada ya kuwepo taarifa kwamba imekera baadhi ya vigogo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na sasa wanapanga kumchukulia hatua.

Vyanzo vyetu vya uhakika ndani ya CCM vimeliambiua Majira kuwa baadhi ya vigogo hao wanalalamika na kutaka Sumaye aitwe na kuhojiwa na vikao vya juu vya chama hicho kwa madai kuwa matamshi yake yamekidhalilisha chama hicho.

Hivi karibuni Sumaye, ambaye alikuwa Waziri Mkuu kwa miaka kumi mfululizo chini ya serikali ya Awamu ya Tatu iliyoongozwa na Rais Benjamin Mkapa, alinukuliwa na vyombo vya habari akitoa angalizo kuwataka wananchi kuwa makini wasichague viongozi wanaotoa rushwa ili washinde uchaguzi kwaniu hawataweza kujali matatizo yao wakishaingia madarakani.


……..Chanzo chetu kimedokeza kuwa kauli hiyo ya Sumaye imewakera baadhi vigogo wa CCM huku wengine wakidai kuwa kwa nafasi yake ndani ya chama, Sumaye hakupaswa kjukemea jambo hilo hadharani ambalo CCM imekuwa ikiandamwa nalo..….


Habari zaidi ktk Majira ya leo.

Sasa huyu ndio anastahili kupewa PhD ya heshima, Dk. Sumaye si unaona, inakuja eee na inatamkika kuliko ile ya mwenzie hebu itamke uone inavyokuwa na ukakasi hebu tamka uone...Dk...jekeli
 
akiitwa tu na ccm.....watz tuandamane na tumpoongeze na tumpe heshima ya udaktari..........
 
Naungana na wewe sio PhD ya heshima tu na Nishani ya ujasiri uliotukuka
 

Kukemea ufisadi kwamponza Sumaye

Na Tumaini Makene


Kauli ya tahadhari kuwataka Watanzania wawe makini katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31 mwaka huu, wasichague watoa rushwa na mafisadi, iliyotolewa na Waziri Mkuu mstaafu Bw Frederick sumaye inaelekea kumgharimu baada ya kuwepo taarifa kwamba imekera baadhi ya vigogo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na sasa wanapanga kumchukulia hatua.

Vyanzo vyetu vya uhakika ndani ya CCM vimeliambiua Majira kuwa baadhi ya vigogo hao wanalalamika na kutaka Sumaye aitwe na kuhojiwa na vikao vya juu vya chama hicho kwa madai kuwa matamshi yake yamekidhalilisha chama hicho.

Hivi karibuni Sumaye, ambaye alikuwa Waziri Mkuu kwa miaka kumi mfululizo chini ya serikali ya Awamu ya Tatu iliyoongozwa na Rais Benjamin Mkapa, alinukuliwa na vyombo vya habari akitoa angalizo kuwataka wananchi kuwa makini wasichague viongozi wanaotoa rushwa ili washinde uchaguzi kwaniu hawataweza kujali matatizo yao wakishaingia madarakani.


……..Chanzo chetu kimedokeza kuwa kauli hiyo ya Sumaye imewakera baadhi vigogo wa CCM huku wengine wakidai kuwa kwa nafasi yake ndani ya chama, Sumaye hakupaswa kjukemea jambo hilo hadharani ambalo CCM imekuwa ikiandamwa nalo..….


Habari zaidi ktk Majira ya leo.

Mungu wangu! Hii ni dhahiri ni chama cha mafisadi!
 
Jinsi walivyomchafua mwaka 2000 hawa wahuni wa mtandao; Sumaye wa zamani sio huyu wa leo siku hizi amekomaa!! Sidhani kama hata wakimwita atatishika na hawa wahuni!!
 
Wamekosa pa kushika wanayumba tu. Wakimgusa Sumaye wameliwa, CHADEMA wanapata chati zaidi. Aende kuwasikiliza na kuwachana live huku huku hakuna Kukolimba tena.
 
Kweli CCM ni chama cha majambazi, yaani mtu kukemea rushwa nchini ni kosa!!!!!!!!!!
Watanzania amkeni bwana tuwatoe wezi hawa......
Pole Sumaye, walikuzushia mengi ukaa kimya kumbe yoote uongo, sasa wewe kusema kidogo tuu imekuwa ningwa! tena kusema ukweli!!
Wakikuzingua nenda chadema au anzisha chama wenzio kina DK salim......
 
Ccm chama cha familia ya kikwete waache kuwadanganya watz.............
 
CCM wamechanganyikiwa! kwani ktk maneno yake aliitaja CCM? ye alisema waache kuchagua viongozi mafisadi sasa kama wao wanajijua kuwa ni mafisado then Taff!! wakumuita kumhoji hilo litakuwa ni kosa maana hakulenga CCM ktk maneno yake!
 
Wamekosa pa kushika wanayumba tu. Wakimgusa Sumaye wameliwa, CHADEMA wanapata chati zaidi. Aende kuwasikiliza na kuwachana live huku huku hakuna Kukolimba tena.

Asiende watamkolimba maana roho zao zinanuka mauti na hawamwogopi hata Mungu. Wakikuta mzee jibu kwa kuwapelekea kikadi chao cha kijani. Alternative ya ukweli ipo , nayo ni Chadema.
 
Mheshimiwa huyu amedhihirisha kuwa hawezi kumchafua Dr.Slaa kwa vitendo siokwa maneno kama wenzake walivyo.Baada kuombwa na JK ili amsaidie kumkampenia katika mikoa ya kaskazini alisema hataweza kuchafua mgombea urais kupitia CHADEMA ambaye ni rais mtarajiwa.
 
Hongera sana mh Sumaye kwa kua mzalendo sasa umeungana na viongozi wengine wazalendo kama Warioba na Dk Salim. Tupo pamoja na wewe japo mafisadi wa Jk watahakikisha hautofika mbali kwenye mchakato wa kura za maoni za uraisi 2015 wakikuita kukuhoji usiende watolee mbavuni. Kura yako ni kwa DR SLAA !
 

Kukemea ufisadi kwamponza Sumaye

Na Tumaini Makene


Kauli ya tahadhari kuwataka Watanzania wawe makini katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31 mwaka huu, wasichague watoa rushwa na mafisadi, iliyotolewa na Waziri Mkuu mstaafu Bw Frederick sumaye inaelekea kumgharimu baada ya kuwepo taarifa kwamba imekera baadhi ya vigogo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na sasa wanapanga kumchukulia hatua.

Vyanzo vyetu vya uhakika ndani ya CCM vimeliambiua Majira kuwa baadhi ya vigogo hao wanalalamika na kutaka Sumaye aitwe na kuhojiwa na vikao vya juu vya chama hicho kwa madai kuwa matamshi yake yamekidhalilisha chama hicho.

Hivi karibuni Sumaye, ambaye alikuwa Waziri Mkuu kwa miaka kumi mfululizo chini ya serikali ya Awamu ya Tatu iliyoongozwa na Rais Benjamin Mkapa, alinukuliwa na vyombo vya habari akitoa angalizo kuwataka wananchi kuwa makini wasichague viongozi wanaotoa rushwa ili washinde uchaguzi kwaniu hawataweza kujali matatizo yao wakishaingia madarakani.


……..Chanzo chetu kimedokeza kuwa kauli hiyo ya Sumaye imewakera baadhi vigogo wa CCM huku wengine wakidai kuwa kwa nafasi yake ndani ya chama, Sumaye hakupaswa kjukemea jambo hilo hadharani ambalo CCM imekuwa ikiandamwa nalo..….


Habari zaidi ktk Majira ya leo.

Duh! Kumbe ukikemea WALA RUSHWA NA UFISADI viongozi wa CCM wanachukia!

Umesomeka!!!
 
hongera Mh. Sumaye wakikuita kataa waambie uko busy, wakikusumbua amia Chadema
 
Back
Top Bottom