state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,515
Naona TANESCO wameamua kukudharau maana tangu mwezi huu uanze ni mgawo tu SAA 8 kwa mtaa ,huko nyuma ilianza kama hivi na mtu alipigwa chini.
Sasa ni zamu yako
Sasa ni zamu yako
Nina Hakika Waziri Kalemani Leo Tena Anakwenda Ubungo Tanesco Kuondoa Mtu, Dar es salaam Imezizima Sasa Hivi Hakuna Umeme
Wale Watumishi Sita Waliambiwa Wahamie Kwenye Nyumba Zao Za Shirika Pale Ubungo
Nadhani Hawajasafisha Vikombe
Mwezi October, Shida Umeme
Huu mgao ni nchi nzima au baadhi ya maeneo?
Leo wamesafisha vikombe ila wamesahau kijiko cha kukoregea umeme (JUST KIDDING) Umeme hii wiki umeniharibia mtririko wa kazi tatizo taanesko wanadhani umeme huku mitaani ni wa kuwashia taa ty na si chanzo cha ajira nyingi zinazotegemea umeme uwepo wanatuletea maagizo ya vikombeNina Hakika Waziri Kalemani Leo Tena Anakwenda Ubungo Tanesco Kuondoa Mtu, Dar es salaam Imezizima Sasa Hivi Hakuna Umeme
Wale Watumishi Sita Waliambiwa Wahamie Kwenye Nyumba Zao Za Shirika Pale Ubungo
Nadhani Hawajasafisha Vikombe
Mwezi October, Shida Umeme
Sijajua ila tangu huyu waziri aende pale TANESCO hali imekuwa mbaya zaidi
Sijajua ila tangu huyu waziri aende pale TANESCO hali imekuwa mbaya zaidi
Nilidhani hilo tatizo na Daraja tu, lakini toka juzi niko Arusha mwenendo ni huo huo. Tena jana eneo nilipokuwa umeme umekatika toka saa 3 asubuhi mpaka saa 11 jioni. Nilipouliza wenyeji wangu wanasema sasa hivi kumekuwa na kukatikakatika kwa mara kwa mara wangalau masaa mawili au matatu.
huku tabora pia unakatika katikaHuu mgao ni nchi nzima au baadhi ya maeneo?
kalemani hata akikaa na kulala ubungo hilo tatizo litatokea tu,sidhani kama ni la uzembe bali la kiufundiLoooh, ninatoka kanisani tu kufika maskani, umeme huo umekatika. Tunamuomba Mheshimiwa Kalemani aweke makao yake ya kudumu pale Tanesco Ubungo....wajasiriamali wadogo tunaumia sana...hatuwezi endeshs shughuli zetu kwa jenereta....
Tumepiga sana hatua muda huu wa jpm mpaka tunafikia hatua Yaani mgao sio kitu cha kawaida tena wananchi wanataka waziri ajitathmini. Haya ndio maendeleo sasa.Naona tanesco wameamua kukudharau maana tangu mwezi huu uanze ni mgawo tu SAA 8 kwa mtaa ,huko nyuma ilianza kama hivi na mtu alipigwa chini
Sasa ni zamu yako