Kukata tiketi za SGR kumerahisishwa zaidi

Kukata tiketi za SGR kumerahisishwa zaidi

Tanzania Railways Corp

Govt Institution
Joined
Mar 23, 2018
Posts
292
Reaction score
690
20260418_072718.jpg
 
Kama mmerahisisha ni Jambo jema. Nawapongeza Kwa hilo. Hii ni reli ya kisasa hivyo hata uendeshaji wake unatakiwa uwe wa kisasa.
 
Niliwahi kutaka kupanda hii treni. Nikakuta kukata tiketi inabidi nifungue akaunti.

Kwa watu kama sisi ambao safari siyo za mara kwa mara hatuoni ulazima wa kufungua akaunti.

Mngeboresha hapo, ukataji tiketi usizuiliwe kwa mkata tiketi kutokua na akaunti yenu
 
Ila hii nchi: Unaweza kikuta siti zimejaa kumbe kuna wadau wanashikiwa siti.
 
Ila hii nchi: Unaweza kikuta siti zimejaa kumbe kuna wadau wanashikiwa siti.
Ukifanyq booking unapewa 45 minutes kulipia zikipita basi siti inakuwa wazi. Watu wanashikaje hizo siti?
 
Niliwahi kutaka kupanda hii treni. Nikakuta kukata tiketi inabidi nifungue akaunti.

Kwa watu kama sisi ambao safari siyo za mara kwa mara hatuoni ulazima wa kufungua akaunti.

Mngeboresha hapo, ukataji tiketi usizuiliwe kwa mkata tiketi kutokua na akaunti yenu
Ungetumia mtandao wa simu.
 
Huko serekaleni JF ni haramu, haya mwanetu imekuwaje tena humu
 
Sijawai kukwea ndege ya mawinguni hata hii inishinde, 😀
 
Back
Top Bottom