Kukamatwa kwa ndege yetu Afrika ya Kusini: Hakuna la kushangilia wala kuhuzunikia. Kisheria, kila jambo hadi sasa liko sahihi na mambo yatakuwa sawa!

Kwanza, kuna kukubaliana kwa hoja kuwa aliyefungua shauri nchini Afrika ya Kusini na kupata amri ya kuishikilia ndege yetu huko anaidai Serikali(kwa mujibu wa Msemaji Mkuu wa Serikali, anaidai Serikali ya Tanzania kiasi cha dola milioni kumi za kimarekani).

Pili, Mahakama Kuu ya Afrika ya Kusini (kama zilivyo Mahakama zetu hapa Tanzania), ina mamlaka ya kupokea na kusikiliza mashauri yanayofunguliwa kwa mujibu wa sheria za Afrika ya Kusini ikiwemo ya MDAI wa Tanzania. Pia, ina mamlaka ya kushughulikia shauri hilo na kutoa amri zinazopasa kwa mujibu wa sheria za huko.

Tatu, naamini kuwa kuna Maombi Madogo na Maombi ya Msingi yaliyofunguliwa na MDAI wa Tanzania huko Afrika ya Kusini. Maombi Madogo (ambayo yaweza kuwa yaliwasilishwa kwa Hati ya Dharura) yalihusu kuizuia ndege ya Tanzania (kama mali ya MDAIWA) hadi pale Maombi ya Msingi yatakaposikilizwa. Maombi ya Msingi yanahusu hasa deni husika na gharama nyinginezo za kisheria.

Nne, Maombi Madogo (kama ilivyo hata hapa kwetu) huweza kusikilizwa baina ya pande zote (inter-partes) au upande mmoja (ex-parte). Daima, kusikilizwa Maombi kwa upande mmoja hutegemea uharaka wa jambo linalohusiana na Maombi hayo. Mfano, hapa kwetu Tanzania Maombi mengi ya kuzuia mnada wa hadhara na mengineyo yenye uharaka kama hayo husikilizwa upande mmoja (MUOMBAJI husikilizwa peke yake). Maombi ya Msingi husubiriwa.

Tano, Maombi Madogo hayo pia husikilizwa baina ya pande zote baada ya MJIBU MAOMBI/Tanzania kupatiwa nakala za Maombi na nyaraka za kuitwa Mahakamani. HIYO NI NAFASI YA KWANZA kwetu kuiondoa amri hiyo ya kuishikilia ndege iliyotolewa kwa upande mmoja (yaani ex-parte). Hilo laweza kufanyika kutegemeana na athari za amri iliyotolewa ex-parte na hoja pamoja na uhalali wa kutolewa kwa amri hiyo.

Sita, baada ya pande zote kusikilizwa kwenye Maombi Madogo na uamuzi kutolewa wa ima kuizuia ndege au la, Maombi ya Msingi yataanza kusikilizwa. Yawezekana, MDAI aliharakisha na kusikilizwa peke yake/upande mmoja kutokana na sababu kuwa ndege yetu ingetua na kuruka kutoka nchini Afrika ya Kusini. Labda kuizuia ni 'kuishinikiza' Serikali kuharakisha kusikilizwa na kulipwa kwa deni husika.

Saba, tayari timu ya Mawakili nguli na wabobezi wa Serikali wakiongozwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dr. Kilangi ilishatua Afrika ya Kusini ili kuweza kusimamia, kuratibu, kutatua na kumaliza sintofahamu ambayo ni ya kisheria. Hadi sasa, hakuna la kushangilia wala la kuhuzunikia. Ndege ni yetu na nchi ni yetu. Uzalendo wetu utusukume kuunga mkono juhudi za Serikali katika kulishughulikia suala hili na kulimaliza. Mambo yote yatakuwa sawa!
Ndo wanasheria 16 nyinyi mnaoomba kesi iendeshwe Kiswahili ili muelewe kinachozungumzwa...sasa maelezo mengi lakini so far Mkulima 1 Jiwe 0
 
Hao mawakili nguli wamekwenda kushangaa tu huko na kufanya shopping. Vitu vingine havihitaji siasa wala kupeleka lundo la watu kama mnasindikiza mwali
 
Ww hujui mahakama za south africa eeh? Ilitolewa amri akamatwe rais bashir wa sudan enzi zake aisee wakamtonya wacha atoke nduki! Mama mugabe mwenyewe hana hamu nao walitaka kumtoa kafara! Sasa sisi kila siku kujitapa tu donor country ngojea tuone huyo anayesema tuna hela nyingi sana anavyolipa! Tena siku ingine akienda nalo litabaki huko naye watambakisha hukohuko.
 
Swali: Wakati shauri linafunguliwa huko SA mpaka hukumu inatolewa sisi tulikuwepo? Au ndo tumekurupuka sasa na hao mawakili nguli??
Mkuu, taarifa imetufikia wakati Mdai alishafungua shauri na tayari alishasikilizwa upande mmoja kwa Maombi Madogo.
 
Petro hiyo ndege ni ya wananchi kweli au ni ya viongozi? Kama ndege ni yetu manunuzi yake yako wazi? Yalifuatia taratibu za nchi zilizokubaliwa kisheria? Je mahesabu yake yanakaguliwa na CAG?
Ndege ya Tanzania imenunuliwa na serikali ya Tanzania kupitia bajeti ya bunge la Tanzania.
 
Dawa ya deni ni kulipa. Hilo lipo wazi. Lakini, pia tuangalie je, walio-seize ndege walishatuma mapendekezo yao na intent ya ku-seize any assets kama hawatajibiwa? Kwanini hao watu, watumie mahakama za SA?
Kama kawaida nasema hichi kitu ni maadui wa ndani ya nchi na sio SA.
Pili, ni nani atawajibika kulipa hasara za usimamishaji wa biashara ?
Tatu, gharama zitaongezeka maana kiwanja hicho pia itachukua chake.
 
Wa kwanza kuwajibishwa atakuwa Kabudi kwani akiwa Waziri wa Sheria alimshauri vibaya wa jalalani mwenziwe kuhusu umiliki wa ndege kuwa kati ya atcl au serikali ya awamu ya tano
 
Sheria IPI ya manunuzi haikufuatwa au unakaririshwa tu eti ndege zilinunuliwa bila hata bajeti?
Uwe unapitia bajeti ya nchi kwa kila wizara na idara ikijadiliwa na ukikuta hakuna hicho kitu with evidence ndio uwe unasapoti upupu wa wanasiasa wanaogeuza watanzania nyumbu kwa kila kitu...
Yapo mambo serikali inatenda kidhaifu lakini sio kila jambo..mengine yanakolezwa ulongo, chuki na hila...
Huduma muhimu kama hiyo lazima niitumie, n tuitumie, narudia sijakosea ni lazima, na tutumie kama waafrica, siyo watumie baadhi ya watu wachache tu pekee ajili ya show off!.
Na gharama za uendeshaji zisiwe mzigo kwa watanzania walio wengi, Wewe ni Blind obedient una fanya haya kiunafiki, ukweli unauona, haitusaidii kwa sababu inaondoa ubunifu, na kujenga taifa la ma mbumbu.waoga.

By the way ni ku-missuses of our resources, kwa expenses za walalahoi. tulisha sema azimio la zanzibar serikali haiwezi biashara, tuuze mashirika ya Umma.
Mbaya zaidi alikurupuka, hakufuata sheria kibao za manunuzi , kwa nini? tukisema tunapigwa risasi tunatishwa.
wewe haya huyaoni? yaanitegemea mengi zaidi!
 
Umalaya ni sifa mkuu, si anazaa lkn? kwanza raha! fumba macho hapo ulipo then think in your Medulla oblongata,

watu waliokuleta Duniani humu walikaa kichungaji au mkao ga ni?

a) wa kipdre k
b)cockroach
c)horse rides

bila huu mchezo usingekuwemo humu JF, yamkini hauutumii, una hasira -mawazo, ndo maana una ukandya, mie nauheshimu sana ndo chakula changu ati.
HIVI KWA HALI HIYO UNA SEHEMU ZA SIRI KWELI WEWE?
 
Kwanza, kuna kukubaliana kwa hoja kuwa aliyefungua shauri nchini Afrika ya Kusini na kupata amri ya kuishikilia ndege yetu huko anaidai Serikali(kwa mujibu wa Msemaji Mkuu wa Serikali, anaidai Serikali ya Tanzania kiasi cha dola milioni kumi za kimarekani).

Pili, Mahakama Kuu ya Afrika ya Kusini (kama zilivyo Mahakama zetu hapa Tanzania), ina mamlaka ya kupokea na kusikiliza mashauri yanayofunguliwa kwa mujibu wa sheria za Afrika ya Kusini ikiwemo ya MDAI wa Tanzania. Pia, ina mamlaka ya kushughulikia shauri hilo na kutoa amri zinazopasa kwa mujibu wa sheria za huko.

Tatu, naamini kuwa kuna Maombi Madogo na Maombi ya Msingi yaliyofunguliwa na MDAI wa Tanzania huko Afrika ya Kusini. Maombi Madogo (ambayo yaweza kuwa yaliwasilishwa kwa Hati ya Dharura) yalihusu kuizuia ndege ya Tanzania (kama mali ya MDAIWA) hadi pale Maombi ya Msingi yatakaposikilizwa. Maombi ya Msingi yanahusu hasa deni husika na gharama nyinginezo za kisheria.

Nne, Maombi Madogo (kama ilivyo hata hapa kwetu) huweza kusikilizwa baina ya pande zote (inter-partes) au upande mmoja (ex-parte). Daima, kusikilizwa Maombi kwa upande mmoja hutegemea uharaka wa jambo linalohusiana na Maombi hayo. Mfano, hapa kwetu Tanzania Maombi mengi ya kuzuia mnada wa hadhara na mengineyo yenye uharaka kama hayo husikilizwa upande mmoja (MUOMBAJI husikilizwa peke yake). Maombi ya Msingi husubiriwa.

Tano, Maombi Madogo hayo pia husikilizwa baina ya pande zote baada ya MJIBU MAOMBI/Tanzania kupatiwa nakala za Maombi na nyaraka za kuitwa Mahakamani. HIYO NI NAFASI YA KWANZA kwetu kuiondoa amri hiyo ya kuishikilia ndege iliyotolewa kwa upande mmoja (yaani ex-parte). Hilo laweza kufanyika kutegemeana na athari za amri iliyotolewa ex-parte na hoja pamoja na uhalali wa kutolewa kwa amri hiyo.

Sita, baada ya pande zote kusikilizwa kwenye Maombi Madogo na uamuzi kutolewa wa ima kuizuia ndege au la, Maombi ya Msingi yataanza kusikilizwa. Yawezekana, MDAI aliharakisha na kusikilizwa peke yake/upande mmoja kutokana na sababu kuwa ndege yetu ingetua na kuruka kutoka nchini Afrika ya Kusini. Labda kuizuia ni 'kuishinikiza' Serikali kuharakisha kusikilizwa na kulipwa kwa deni husika.

Saba, tayari timu ya Mawakili nguli na wabobezi wa Serikali wakiongozwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dr. Kilangi ilishatua Afrika ya Kusini ili kuweza kusimamia, kuratibu, kutatua na kumaliza sintofahamu ambayo ni ya kisheria. Hadi sasa, hakuna la kushangilia wala la kuhuzunikia. Ndege ni yetu na nchi ni yetu. Uzalendo wetu utusukume kuunga mkono juhudi za Serikali katika kulishughulikia suala hili na kulimaliza. Mambo yote yatakuwa sawa!

Mengine yanaweza kuwa sawa... Ila hiyo pointi ya Saba... inatia hofu isiyoumiza..!

Anyway; kwa taarifa yako -
Mimi pamoja na wenzangu wanne ambao ilikuwa tusafiri na ATCL kwenda South Africa next month tumehairisha kuitumia kampuni hiyo.
Tumeshafanya flight bookings kwingine... Kwa sasa tunafuatilia refund ya nauli zetu kutoka ATCL...!!
Inawezekana kuwa mimi pamoja na wenzangu ni watu wachache sana.. Lakini kwenye biashara yoyote "Words of Mouth" does really matter.
 
DUUH !!! watoto wa matajiri waliofilisi ATCL ni wagumu kuwaeleza mpaka waelewe, mleta mada ameeleza vizuri sana .
 
Kitu kinachonishangaza na kunisikitisha kuwa mpaka sasa tumeshindwa kuweka "security bond" ili ndege iruhusiwe kufanya kazi zake na sisi tuendelee na kesi.

Hivi tumeshindwa nini hapo na ni kitu cha kawaida sana na kinakubalika kwa dharura kisheria?
 
Kwanza, kuna kukubaliana kwa hoja kuwa aliyefungua shauri nchini Afrika ya Kusini na kupata amri ya kuishikilia ndege yetu huko anaidai Serikali(kwa mujibu wa Msemaji Mkuu wa Serikali, anaidai Serikali ya Tanzania kiasi cha dola milioni kumi za kimarekani).

Pili, Mahakama Kuu ya Afrika ya Kusini (kama zilivyo Mahakama zetu hapa Tanzania), ina mamlaka ya kupokea na kusikiliza mashauri yanayofunguliwa kwa mujibu wa sheria za Afrika ya Kusini ikiwemo ya MDAI wa Tanzania. Pia, ina mamlaka ya kushughulikia shauri hilo na kutoa amri zinazopasa kwa mujibu wa sheria za huko.

Tatu, naamini kuwa kuna Maombi Madogo na Maombi ya Msingi yaliyofunguliwa na MDAI wa Tanzania huko Afrika ya Kusini. Maombi Madogo (ambayo yaweza kuwa yaliwasilishwa kwa Hati ya Dharura) yalihusu kuizuia ndege ya Tanzania (kama mali ya MDAIWA) hadi pale Maombi ya Msingi yatakaposikilizwa. Maombi ya Msingi yanahusu hasa deni husika na gharama nyinginezo za kisheria.

Nne, Maombi Madogo (kama ilivyo hata hapa kwetu) huweza kusikilizwa baina ya pande zote (inter-partes) au upande mmoja (ex-parte). Daima, kusikilizwa Maombi kwa upande mmoja hutegemea uharaka wa jambo linalohusiana na Maombi hayo. Mfano, hapa kwetu Tanzania Maombi mengi ya kuzuia mnada wa hadhara na mengineyo yenye uharaka kama hayo husikilizwa upande mmoja (MUOMBAJI husikilizwa peke yake). Maombi ya Msingi husubiriwa.

Tano, Maombi Madogo hayo pia husikilizwa baina ya pande zote baada ya MJIBU MAOMBI/Tanzania kupatiwa nakala za Maombi na nyaraka za kuitwa Mahakamani. HIYO NI NAFASI YA KWANZA kwetu kuiondoa amri hiyo ya kuishikilia ndege iliyotolewa kwa upande mmoja (yaani ex-parte). Hilo laweza kufanyika kutegemeana na athari za amri iliyotolewa ex-parte na hoja pamoja na uhalali wa kutolewa kwa amri hiyo.

Sita, baada ya pande zote kusikilizwa kwenye Maombi Madogo na uamuzi kutolewa wa ima kuizuia ndege au la, Maombi ya Msingi yataanza kusikilizwa. Yawezekana, MDAI aliharakisha na kusikilizwa peke yake/upande mmoja kutokana na sababu kuwa ndege yetu ingetua na kuruka kutoka nchini Afrika ya Kusini. Labda kuizuia ni 'kuishinikiza' Serikali kuharakisha kusikilizwa na kulipwa kwa deni husika.

Saba, tayari timu ya Mawakili nguli na wabobezi wa Serikali wakiongozwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dr. Kilangi ilishatua Afrika ya Kusini ili kuweza kusimamia, kuratibu, kutatua na kumaliza sintofahamu ambayo ni ya kisheria. Hadi sasa, hakuna la kushangilia wala la kuhuzunikia. Ndege ni yetu na nchi ni yetu. Uzalendo wetu utusukume kuunga mkono juhudi za Serikali katika kulishughulikia suala hili na kulimaliza. Mambo yote yatakuwa sawa!
Ni uzembe somewhere na tusitafute mchawi
 

Attachments

  • Hermanus Steyn.jpg
    Hermanus Steyn.jpg
    54.4 KB · Views: 10
Back
Top Bottom