Unstoppable
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,046
- 384
Hakika inashangaza kwa nini alihudhuria hiyo semina elekezi. Kishaingia katika mfumo wa kifisadi wa CCM, Mahakama inazidi kukosa uhuru wake kikatiba na hivyo haki kupotea.
Halafu huyo Chande hakustahili kupata wadhifa huo mkuu kwani kuna majaji wqengine wanne wa Mahakama ya Rufaa wamerukwa (katika order ya seniority). Kwa hali hii maamuzi yake yote yanayohusu serikali ya JK yatatiliwa shaka.
Nchi hii inazidi kupotea njia.
Mkuu aliingizwa kufanya kazi maalumu na sasa ameianza rasmi! God Bless Tanzania!!!!!!!!!!!!!