Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Nyie maggid hamjamjua,
Hakuna siku anaweza kuongea bila kuchomeka udini udini yaani.
Kwa akili yake hapo anona Lipumba ndiye minzani wa kweli eti si waliita CUF CCM B, fikiria hapo kwa undani anaponda chama kinachoitwa cha ki Kikristo na kufagilia anachofikiri ni cha Kiislamu
Si mwamini kabisa na hii inatokana na tabia zake za kinafiki.
Hakuna siku anaweza kuongea bila kuchomeka udini udini yaani.
Kwa akili yake hapo anona Lipumba ndiye minzani wa kweli eti si waliita CUF CCM B, fikiria hapo kwa undani anaponda chama kinachoitwa cha ki Kikristo na kufagilia anachofikiri ni cha Kiislamu
Si mwamini kabisa na hii inatokana na tabia zake za kinafiki.