Chenge hajakamatwa. "Alionekana" katika ofisi za TAKUKURU leo na kuondoka. Kwa kawaida watuhumiwa wote walioshitakiwa na TAKUKURU huanzia pale Upanga (Takukuru) kabla ya kuambiwa wako chini ya ulinzi na kuacha magari yao ya kifahari. Liyumba, Mramba, Mgonja, Mahalu etc walifanywa hivyo lakini kwa leo Chenge alikua na safari "binafsi" pale TAKUKURU na hakwenda pale "KIKAZI". Naomba kuwasilisha
Mode ondoa hii kitu hapa inatupotezea muda....
Naona kama kitendawili, akamatwe leo saa 10 usiku; na alipogonga bajaji na kuua wale vigoli wawili ilikuwa saa 10 usiku. Bungeni alionekana akinyunyiza juju saa 10 usiku, duuuu; huyu mzee wa usiku kwa usiku!!!
Naona kama kitendawili, akamatwe leo saa 10 usiku; na alipogonga bajaji na kuua wale vigoli wawili ilikuwa saa 10 usiku. Bungeni alionekana akinyunyiza juju saa 10 usiku, duuuu; huyu mzee wa usiku kwa usiku!!!
Naona kama kitendawili, akamatwe leo saa 10 usiku; na alipogonga bajaji na kuua wale vigoli wawili ilikuwa saa 10 usiku. Bungeni alionekana akinyunyiza juju saa 10 usiku, duuuu; huyu mzee wa usiku kwa usiku!!!
...kwa maana hiyo tukitaka kufanikisha chochote kile kumfanya aachie huo ubunge wake inabidi tukifanye saa 10 usiku. Hata hii comment nilitakiwa niitoe saa kumi usiku....... na wewe kuisoma hii comment ulitakiwa ufanye saa 10 usiku. ..... pls do not reply to my comment till saa 10 usiku.
Naona kama kitendawili, akamatwe leo saa 10 usiku; na alipogonga bajaji na kuua wale vigoli wawili ilikuwa saa 10 usiku. Bungeni alionekana akinyunyiza juju saa 10 usiku, duuuu; huyu mzee wa usiku kwa usiku!!!
. Maana yule kigoli mmoja inasemekana walikuwa na uhusiano wa karibu na Mzee wa Vijisenti. Kila akienda Mwanza basi hataki huduma toka kwa yeyote yule bali kigoli yule yule kila wakati!.
Nyie acheni porojo. Chenge hajashikwa wala nini tuko nae Jackies tunapata konyagi hapa.
Nyie acheni porojo. Chenge hajashikwa wala nini tuko nae Jackies tunapata konyagi hapa.
mkuu kwa mnywaji yeyote aliekwenda shule haendeshi starlet. tunaendesha kandambili mkuuMzee angalia asije gonga kistarlet chako saa kumi kumi za usiku!