Makonyagi
Member
- Apr 16, 2009
- 40
- 1
Eeka mbona umeuliza haraka ivo? Wivu au nin? naona hapa anamtomasatomasa mhudumu mmoja anamwalika waende naye dodoma wakati wa kikao fulani burhp! ops sory! kikao fulani cha bhunge. unadhani anaweza kumpakiza kibajaj wakifika dom?Yuko na demu gani saa hii. Hata hivyo hicho sio kiwanja chake.
Makonyagi acha fujo!
Eeka nitajie viwanja vya huyu mlevi mwenzangu maana mara nyingi hunitoroka nikimwomba ofa