KabisaMatamko tukio la lisu yamekuwa mengi sana lakini hatuoni chochote cha maana kinachoendelea, fanyeni kazi maisha lazima yaendelee
Keep on waiting for that "international uproar" which will never happen.I knew an international uproar was coming...
Kama hata hujui impact ya hiyo. Humu unafanya nini nenda jukwaa la mapenzi kuleKwani itasaidia nn labda?! Tuanzie hapo kwanza.......
Hicho king'eng'e mijitu ya lumumba na magu wao watatoka kapa....
Ushasema " malkia" halafu eti " asiyetaka kuachia madaraka" . Haya msomi REDEEMERPumbavu hao wanamlima barua nani hao wamlime Malkia Elizabeth asietaka kuachia madaraka.
Na juzi tu wamekopa dooa m500 na zilipwe dola mia 9Umesahau mnaishi kwa misaada yao
Hawa siyo wajinga. Huu unaweza kuwa ni mwanzo lakini ni kwaajili ya kuweka records. Tuangalie tulipojikwaa ili tujisahihishe.Kwani itasaidia nn labda?! Tuanzie hapo kwanza.......
Maskini ya Mungu, hivi ni lini umesikia uchaguzi wa malkia,pole sana ila watu kama nyie ndio mtaji wa ccmPumbavu hao wanamlima barua nani hao wamlime Malkia Elizabeth asietaka kuachia madaraka.