unjubrown
Member
- Sep 19, 2017
- 32
- 15
Halafu siku zinakwendainaingia sikio hili inatokea kuleee
Halafu siku zinakwendainaingia sikio hili inatokea kuleee
Hizi zote ni cheche za Barrick ukiona mzungu anakusifia jiangalie mara mbili - NyerereHuu ni upupu Watanzania keendelea kuabudu wakoloni.....
Mzungu yupo kimaslai zaidi.. Akutetei tu kizembe bila kukufaidi..
Na wewe ni bora ungetumia nguvu uliyoitumia kuandika huo ujinga wako kujamba!Nguvu waliyotumia kuandika hiyo Barua si wangetuma Ndege Nairobi kwenda kumchukua Kibaraka wao wakamtibu?
Kuelewa au kutoielewa hiyo Barua kutampa nafuu Lissu?
Kwani waliompiga Risasi mbona haujawaambia kumtibu,Apigwe Risasi na wengine matibabu uhusishe wengine.Waambieni hao mabwana wa Uingereza Lissu haitaji barua Lissu anahitaji matibabu wangemchukua wakampa matibabu ya uhakika huko uingereza watakua wamesaidia sio hizi ngonjera
Lazima uwe taahira hasa kuamini kuwa unaweza kupaa kiuchumi kwa kwenda kinyume na Dunia. Kati ya mambo yanayoweza kukufanya uonekane hopeless kabisa ni pale unaposhindwa kutekeleza hata uliyoyaahidi mwenyewe.Upuuzi mtupu nimeanza amini Hii ni vita ya kiuchumi lakini kwa upuuzi huu ndio utatufanya tuwe imara zaidi na kubuni mbinu nzuri zaidi za kupaa kiuchumi
Wauwaji hao royal family they killed Princess Diana and no one does nothing alafu ndio waingilie mambo yetu na kutoa amri uchwara hapa.Ushasema " malkia" halafu eti " asiyetaka kuachia madaraka" . Haya msomi REDEEMER
Rwanda kila Siku Watu wanapigwa Chuma wakileta U maku maku, Kenya kapigwa Chuma Mkuu wa ICT wa Tumewazungu ni wanafiki sana. kesho utasikia uingereza yatoa misaada kwa tanzania. kama wanaume wapige marufuku kiongozi yeyote wa serikali kukanyaga ulaya.
Wewe ni mjinga.Hii ni nchi huru na ina sheria na taratibu zake sio koloni
la uingereza
Huyo bibi nae kazeeka sana anatakiwa akalele wajukuu aachie nchi kwanza wanaikalia Wales kwa mabavu.Maskini ya Mungu, hivi ni lini umesikia uchaguzi wa malkia,pole sana ila watu kama nyie ndio mtaji wa ccm
Mnaonywa kwani mnaleta kiburi kwa misaada yao, unapoona Mwingireza ameongea, ujue nchi zoote za Ulaya nazo hazitaenda kinyume naye, na Usa lazima naye atatia neno.Waambieni hao mabwana wa Uingereza Lissu haitaji barua Lissu anahitaji matibabu wangemchukua wakampa matibabu ya uhakika huko uingereza watakua wamesaidia sio hizi ngonjera
Imeandikwa kuonesha kwamba imetoka kwa Rais wa wa hicho chama. Bado una uandishi wa barua wa zama zile za Juma na Roza?...Huu ujinga wangu huu nahitaji kufundishwa...