ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
- Thread starter
- #21
halafu wewe unaongea sana utakuwa melancholi 🤣Sema mimi mwenyewe ndakuwa nimefaidi tunda😂😂😂😂😂😂😂akuna cha bure
halafu wewe unaongea sana utakuwa melancholi 🤣Sema mimi mwenyewe ndakuwa nimefaidi tunda😂😂😂😂😂😂😂akuna cha bure
mkuu hicho ni kilugha gani tena melancholi😂😂😂😂🤣🤣halafu wewe unaongea sana utakuwa melancholi 🤣
kimatembo hahahaaaaaaaaaaaaa yaani wewe ni mtu wa kuongea sana na mfurahishaji kumbe uko pande zipi hapa duniani?mkuu hicho ni kilugha gani tena melancholi😂😂😂😂🤣🤣
Nipo hapa las vages USA😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nakupata mubashara vip wew pand zipikimatembo hahahaaaaaaaaaaaaa yaani wewe ni mtu wa kuongea sana na mfurahishaji kumbe uko pande zipi hapa duniani?
hahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwii sasa naona unaniweka kikaangioni haya hongera zako mm niko jiji la mama hapa tzNipo hapa las vages USA😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nakupata mubashara vip wew pand zipi
Upo dar es salaam tanzania mitaa hiyo nimeishi sana mbezi makabe unakufaamu uko😂😂😂😂😂😂😂hahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwii sasa naona unaniweka kikaangioni haya hongera zako mm niko jiji la mama hapa tz
nakufaahamu sana tena sana mpaka kule temeke njia nyembamba ya kijito kwa MPALANGE sasa utanifananisha na BAK au Chachu Ombara wa OMAN hapo kwa mshumbusi hahhaaaaa🤣Upo dar es salaam tanzania mitaa hiyo nimeishi sana mbezi makabe unakufaamu uko😂😂😂😂😂😂😂
nakufaahamu sana tena sana mpaka kule temeke njia nyembamba ya kijito kwa MPALANGE sasa utanifananisha na BAK au Chachu Ombara wa OMAN hapo kwa mshumbusi hahhaaaaa🤣
mkuu mbona unazurura sana sehemu zote hizo mimi nakukaa kote dsm sehemu nyingi ni chenga😂😂😂😂😂😂nakufaahamu sana tena sana mpaka kule temeke njia nyembamba ya kijito kwa MPALANGE sasa utanifananisha na BAK au Chachu Ombara wa OMAN hapo kwa mshumbusi hahhaaaaa🤣
nimepita mkuu eneo lile hatari sana ogopa kupita usiku utaduwaa unachokiona mbele ya macho yako hahaaaaahahahahahahahahahah kwa Mpalange pia umepita?
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa maisha ndo yananipeleka huko unajua ukitaka kutafuta utafika hata eneo lisilofikika mkuumkuu mbona unazurura sana sehemu zote hizo mimi nakukaa kote dsm sehemu nyingi ni chenga😂😂😂😂😂😂
nimepita mkuu eneo lile hatari sana ogopa kupita usiku utaduwaa unachokiona mbele ya macho yako hahaaaaa
ahaaaaaa jamani acha kusema hivyo mm kule napita wakati basi limekwamba kupita uhasibu ndo wanachepukia njia za ajabu ajabu kama hizo hahaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂 mhuni wewe!!!!
Shida sana hasa kwenye kuombwa hela wallahHabarini wadau wa humu.
Toeni ya moyoni kuhusu kujulikana Je kwako mwenzangu KUJULIKANA kuna raha au karaha?
TIRIRIKENI WADAU hapa.
Mimi kujulikana naona raha sijui wadau mabestito.
Wasalamu
Ladyf
ahaaaaaa jamani acha kusema hivyo mm kule napita wakati basi limekwamba kupita uhasibu ndo wanachepukia njia za ajabu ajabu kama hizo hahaaaaaaaa
umejuaje 😂😂😂😂😂😂😂Totos nyingi zina sema hivyo utasikia wew mkaka unaongea sanahalafu wewe unaongea sana utakuwa melancholi 🤣
Ndo adi kwa mparange?mkuu😂😂😂🤣🤣🤣🤣wewe noma sanahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa maisha ndo yananipeleka huko unajua ukitaka kutafuta utafika hata eneo lisilofikika mkuu
Kujulikana kubaya ni kule ambako watu wengi wanakujua alafu wewe huwajui na hujawahi kukutana nao kabisa.Habarini wadau wa humu.
Toeni ya moyoni kuhusu kujulikana Je kwako mwenzangu KUJULIKANA kuna raha au karaha?
TIRIRIKENI WADAU hapa.
Mimi kujulikana naona raha sijui wadau mabestito.
Wasalamu
Ladyf