The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,842
huwezi muita mtu na mpenzi 'anajiuza' eti kwa kuwa anapewa pesa...
tfsiri sahihi ya wadada wanaojiuza ni machangodoa
na wanajiuza kwa yeyote yule bila kujali ni mpenzi wake au sio....
kama mdada anapenda kupewa pesa unaweza kusema anapenda kuchuna
au kuhongwa...
kuna tofauti ya prostitute na gold digger.......
tfsiri sahihi ya wadada wanaojiuza ni machangodoa
na wanajiuza kwa yeyote yule bila kujali ni mpenzi wake au sio....
kama mdada anapenda kupewa pesa unaweza kusema anapenda kuchuna
au kuhongwa...
kuna tofauti ya prostitute na gold digger.......