ASANTE SANA NA JE HUKO JKT KUNA TARATIBU ZA KUJIUNGA NA JW??
:angry:
Nifahamishwe kikomo cha umri ngazi ya cheti, stashahada, shahada na shahada ya uzamili...tafadhari wana JF.
Nakushukuru mkuu kwa kunijulisha umri nlkuwa mwalimu lakn baada ya kumalza shahada nataka kuingia kwenye ulinzi wa taifa hasa kuwa usalama wa taifa au polisi.umenipa moyo umri saiv 27 duuu nkawa nahc ndoto zangu znapoteaaa!!Kwa TPDF kwenda cadet usizidi miaka 35 kwa form 6, Diploma na Bachelor, sijafahamu kwa master's na Phd ila nitafuatilia...
Kwa JKT kundi la kujitolea(ambao ndio wako after ajira) umri ni kati ya miaka 18 hadi 23 kama utapitia kwenye halmashauri, ingawa hiko kigezo huwa hatukiangalii sana kwa watu ambao wanapewa form kipitia makao makuu ya JKT maana wapo hadi wenye miaka 33.
Kwa TPDF kwenda cadet usizidi miaka 35 kwa form 6, Diploma na Bachelor, sijafahamu kwa master's na Phd ila nitafuatilia...
Kwa JKT kundi la kujitolea(ambao ndio wako after ajira) umri ni kati ya miaka 18 hadi 23 kama utapitia kwenye halmashauri, ingawa hiko kigezo huwa hatukiangalii sana kwa watu ambao wanapewa form kipitia makao makuu ya JKT maana wapo hadi wenye miaka 33.
Haipo hiyo usiudanganye Uma, jkt ndio the only way in... Kwa taarifa tu hadi madaktari wapo Jkt sa hv, wapo kama 6 hv wenye M.D pamoja na kozi nyingine kibao za kipaumbele jeshini, na jeshini madokta ndio hot cake lakini still hawaendi moja kwa 1 TMA.
Lonja zilizopo ni mwezi wa 10 kwa professional waliopo JKT, na kiukweli wapo wengi tu hadi master's zipo, my take...fanya ufanyavyo upate nafasi ya JKT otherwise Yesu atarudi atakukuta bado unasubiri nafac za TMA from uraiani!
Mkuu cadet ndo nini?
Ofisa Mwanafunzi!
nyingine nimesikia leo Luteni Usu manaake nini?
Luteni Usu ni ofisa mwenye nyota moja begani..Cheo hiki hudumu kwa mwaka mmoja na baadae anapanda hadi nyota mbili na kuitwa Luteni
na f.b.o maana yake nini maana kuna soja kalewa kasema nikimzingua atanipa fbo matata sana