Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,197
Hongera Kaka Mike1234, Mungu akuongoze uendelee vivyo hivyo.
bonge la mwanaume mko wachache sana katika sayari hii!
Na wewe Hongera SanaHongera sana..
Chauro ulimaanisha mimi, aisee asante sana lolMungu akubariki,wewe ni kati ya wanaume wachache sana maana humu naona wengine mpaka wametengeneza katiba ya kuhalalisha cheating.
Nipo hapo kwenye bluuulishaingia finest au bado upo upo!!!!!!!!!!!!!!!!!!
kwa kweli kwa upande wa mke wangu sijuii,maana nikisafiri tunaongea mda wote na nikirudi sioni kama kua madiliko lolote,na mwamini kama ninavyo jiamini,sijui sisi ni binadamu ila kwakuwa sijawahi kumtenda basi naomba na mimim asinitende
Nipo hapo kwenye bluu
Najaribu kummendea yule mdogo wako lakini ananiwekea ngumu kweli huu mwezi wa 3 sasa.subiri uingie uone utamu wa ngoma halafu mahongera yako utayakuta huko mbele.
Napenda kuchukua fursa hii kujisifu,kwa sababu huu ni mwaka wa 11 ndani ya ndoa bila kutoka nje ya ndoa yaani kuwa na mahusiyano na mwanamke mwingine nje ya ndoa yangu,je ni wanaume wangapi wameliweza hilo? marafiki zangu wengi wameshindwa,je wewe!jichunguze chukua hatua,naomba mnisifu kwa hili
kwa kweli kwa upande wa mke wangu sijuii,maana nikisafiri tunaongea mda wote na nikirudi sioni kama kua madiliko lolote,na mwamini kama ninavyo jiamini,sijui sisi ni binadamu ila kwakuwa sijawahi kumtenda basi naomba na mimim asinitende
Napenda kuchukua fursa hii kujisifu,kwa sababu huu ni mwaka wa 11 ndani ya ndoa bila kutoka nje ya ndoa yaani kuwa na mahusiyano na mwanamke mwingine nje ya ndoa yangu,je ni wanaume wangapi wameliweza hilo? marafiki zangu wengi wameshindwa,je wewe!jichunguze chukua hatua,naomba mnisifu kwa hili
Napenda kuchukua fursa hii kujisifu,kwa sababu huu ni mwaka wa 11 ndani ya ndoa bila kutoka nje ya ndoa yaani kuwa na mahusiyano na mwanamke mwingine nje ya ndoa yangu,je ni wanaume wangapi wameliweza hilo? marafiki zangu wengi wameshindwa,je wewe!jichunguze chukua hatua,naomba mnisifu kwa hili