promiseme
JF-Expert Member
- Mar 15, 2010
- 2,707
- 931
Habari za hasubuhi waungwana,
Jana nilienda msibani huko magondo poromoka, nikiwa na shogha yangu cha ajabu shoga hatulii sehemu moja mara katoka nje mara kaingia ndani nikamuliza kwani vp mbona unawasiwasi kuna nini? Akanijibu hujui kama hapa ndio mpango mzima wanaume wengi hupatikana msibani, lazima nipate kichwa hapa. Nilishangaa nikajiuliza hivi inakuwaje mtu unakwenda msibani halafu akili yako inafikiri mambo machafu.
Kwakweli alinikera na sikurudi nae tuliachana hapo na yy. Msiba haumuhusu ni mke wa shemeji yangu. Hivi wangwana wako watu wanaofanya haya mambo au ni huyu mdada peke yake? Manake sijawahi kuona kiumbe mwenye visa kama hivi...
Jana nilienda msibani huko magondo poromoka, nikiwa na shogha yangu cha ajabu shoga hatulii sehemu moja mara katoka nje mara kaingia ndani nikamuliza kwani vp mbona unawasiwasi kuna nini? Akanijibu hujui kama hapa ndio mpango mzima wanaume wengi hupatikana msibani, lazima nipate kichwa hapa. Nilishangaa nikajiuliza hivi inakuwaje mtu unakwenda msibani halafu akili yako inafikiri mambo machafu.
Kwakweli alinikera na sikurudi nae tuliachana hapo na yy. Msiba haumuhusu ni mke wa shemeji yangu. Hivi wangwana wako watu wanaofanya haya mambo au ni huyu mdada peke yake? Manake sijawahi kuona kiumbe mwenye visa kama hivi...