nadhani na ss wanaume tumekuwa rahisi sana kupatikana ndiyo maana, yy anajuwa soko lipo ndio maana anafanya vile....ni sawa sawa na kuwaona mashoga mi watu wa ajabu ..wakati wanachukuwaliwa na wamaume na akili zao...kusingekuwa na wateja na wao wasingekuwepo......watamuuzia nani:::............ CHUKUA ATUA SASA............
Habari za hasubuhi waungwana,
Jana nilienda msibani huko magondo poromoka, nikiwa na shogha yangu cha ajabu shoga hatulii sehemu moja mara katoka nje mara kaingia ndani nikamuliza kwani vp mbona unawasiwasi kuna nini? Akanijibu hujui kama hapa ndio mpango mzima wanaume wengi hupatikana msibani, lazima nipate kichwa hapa. Nilishangaa nikajiuliza hivi inakuwaje mtu unakwenda msibani halafu akili yako inafikiri mambo machafu.
Kwakweli alinikera na sikurudi nae tuliachana hapo na yy. Msiba haumuhusu ni mke wa shemeji yangu. Hivi wangwana wako watu wanaofanya haya mambo au ni huyu mdada peke yake? Manake sijawahi kuona kiumbe mwenye visa kama hivi...
huo ndio mpngo mzima wa mujiniiii!!jana nilihudhuria misiba miwili kulikuwa na dada mja mithili hiyo hiyo anajichekesha amevaa sidiria tu na vimikanda vya maji vinaonekana yeye hatulii nikupita pita akaenda kusimama kule kwa wanaume mara akimbie pembeni akicheka huku akipikea simu sikuelew ila nilichukia sana maana nilikuwa na huzuni sana tulikuwa tunazika mtu mzima na mtoto wa miezi 4.kwa upande wangu naona ndio mishe zenyewe ndugu ,angalia wanawake wa siku hizi wanavyojikoki kwenye misiba anaulamba wala hafuniki kichwa tena lol.nahisi ndio mpango wa mujini ndugu lol mkuu promiseme
Mwambie asisumbuke kiasi hicho awe member tu waJF kuna raia wana njaa balaa.
shemeji yangu anamke mmoja,huyu mwanamke sio shogangu nijirani lakini hatuna mazowea ila watoto wa shemeji yangu wanasoma na watoto wa kaka yake huyo mwanamke na wala sina mazowea nae hayooo yani hoyo ndio ilikua safari ya mwanzo kuwanae msibani na ndio imekua ya mwisho..Hivi shemeji yako ana wake wangapi?
Hata hivyo huyo rafiki yako kwa nini ajifunzi tabia nzuri kama zako? Labda si rafiki yako wa karibu.
ni shogha ako! mi nadhani mna tabia za kufanana la sivyo asingekuwa na confidence ya kukueleza huo upuuzi wake, ila nadhani alikukera kwasababu pale palikuwa msibani na wewe ukataka ufiche makucha..
Jamani sishoganguuu eeeeeeeeeeeeh! na hata kama angekua basi kwa alichokifanya sicho na sijapenda,unapokuta watu wana msiba nawewe unakumbuka wako ndio unajua vipi wenzio wanaumia kama ulivyokua unaumia wewe,sio kujihashua,
mara cm,mara umfate huyu shemeji umeadimika inahusu nini...?
kinachonipa wasi wasi ni hiyo confedence ya kukuambia hayo aliipata wapi? manake kama mtu hujamzoea si rahisi kumwambia hiloshemeji yangu anamke mmoja,huyu mwanamke sio shogangu nijirani lakini hatuna mazowea ila watoto wa shemeji yangu wanasoma na watoto wa kaka yake huyo mwanamke na wala sina mazowea nae hayooo yani hoyo ndio ilikua safari ya mwanzo kuwanae msibani na ndio imekua ya mwisho..