Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,229
Hayo ya blue yote "Tawire"
Waswahili wanasema 'msiba una wenyewe'
Wasio wenyewe waache wafanye wanayofanya
Ndo umejua leo msibani ndo penyewe kwa kusaka mabwana? Hushangai watu wanaupara sana siku hizi? Tena unakuta mtu anaenda kabisa kuset ama kusuka za msibani, mihereni mikubwaa.
Biashara matangazo bibie, weka embe zako chumbani zikuozee
Afu uache kusema kutafuta 'bwana' ni mawazo machafu, bila kupata bwana mwanamke ataolewa na nani???
Waswahili wanasema 'msiba una wenyewe'
Wasio wenyewe waache wafanye wanayofanya
Ndo umejua leo msibani ndo penyewe kwa kusaka mabwana? Hushangai watu wanaupara sana siku hizi? Tena unakuta mtu anaenda kabisa kuset ama kusuka za msibani, mihereni mikubwaa.
Biashara matangazo bibie, weka embe zako chumbani zikuozee
Afu uache kusema kutafuta 'bwana' ni mawazo machafu, bila kupata bwana mwanamke ataolewa na nani???
Habari za hasubuhi waungwana,
Jana nilienda msibani huko magondo poromoka,nikiwa na shohangu chaajabu shoga hatulii sehemu moja mara katoka nje mara kaingia ndani nikamuliza kwani vp mbona unawasiwasi kunanini? Akanijibu hujui kama hapa ndio mpango mzima wanaumewengi hupatikana msibani, lazima nipate kichwa hapa,nilishangaa nikajiuliza ivi inakuwaje mtu unakwenda msibani halafu akili yako inafikiri mambo machafu.
kwakweli alinikera na sikurudi nae tuliachana hapo na yy msiba haumuhusu nimke wa shemeji yangu. ivi wanguwana wako watu wanao fanya haya mambo au ni huyu mdada peke yake manake sijawahi kuona kiumbe mwenye visa kama hivi...