Kujishaua mbele za wanaume misibani..

Kujishaua mbele za wanaume misibani..

Kichaa akizidisha vituko afungwe kamba. Hivyo, dawa ya huyo dada ni kumkalisha chini kwa nguvu au kwa kutumia watani. Ikiwezekana anapewa na kipigo cha kutuliza fujo ashike adabu.
 
sasa wewe mwenyewe umesema msiba haumuhusu sasa ulitaka ajidai kulia kumbe full maigizo...wach bwan apate bwana...nice way to celebrate a life taken. na msifa akishapewa uji kuna story gani tena msibani zaidi ya umebea tuu.
 
acha kukariri maisha mkuu,,hata hao wa makanisani na wenyewe vimeo tu
Nisawa lakini kwa yule sie na style utakayo mpatia siyo ungempata kwenye sherehe kwa raha zenu lakini msibani?
 
kinachonipa wasi wasi ni hiyo confedence ya kukuambia hayo aliipata wapi? manake kama mtu hujamzoea si rahisi kumwambia hilo
huyo mwanamke hana haya anapenda kuzowea watu na hakusema kama siri mie na yeye walikua watu kama 6 na wengine hata hawajui wanatoka mwanza..
 
Mke mwenzake
Apana alofariki ndio mke wa shemeji yangu,huyu mwanamke watoto wa kaka yake ndio wanasoma school moja na watoto wa shemeji yangu sasa watoto wale wa shemeji yangu wakija kwangu holiday wanakutana na watoto wa kaka yake huyo mwanamke ndio sababu yakumjua hatuna mazowea mie na yeye zaidi ya salam..sasa sijui ndio kataka kunizowea kwa style hiyo yakusema anatafuta vichwa..
 
sasa wewe mwenyewe umesema msiba haumuhusu sasa ulitaka ajidai kulia kumbe full maigizo...wach bwan apate bwana...nice way to celebrate a life taken. na msifa akishapewa uji kuna story gani tena msibani zaidi ya umebea tuu.
Nisawa kama unaona amefanya sawa..
 
Oyaaa dogo uwe na nidhamu, TIMING ni member mkongwe anayeheshimika sana hapa JF. Bahati mbaya zaidi ni agemate wangu..

Be warned!

kamanda,

naamini dogo hana nia mbaya basi tu shetani alimpitia

simu yako haiptikani mkuu,

bwana asifiwe sana
 
Back
Top Bottom