Kujichua Vs Uzinifu 🤔

Kujichua Vs Uzinifu 🤔

Screenshot_20260621-102532.png
 
1. Punyeto ni uzinifu.(Unazini kwa mawazo)

2. Ukibanwa jikaze, sali. Mtu anakuwa mrahisi kuamini Mungu anaweza kumpa utajiri lakini eti hataki kuamini anaweza kuziondoa nyege zake.

3. Kama wewe sio mtu wa dini sana unatafuta mwenza tu.
Umeongea vizuri sana 👏 👏 👏
Wewe ni mtu mwema sana hope wewe ni mfaano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom