Kujenga ni uoga wa maisha. Alisikika mpangaji sugu akisema.....Mnajenga chumba na sebule?
Kujenga ni uoga wa maisha. Alisikika mpangaji sugu akisema.....
Kabisa wageni wakizidi unatoa magodoro sebuleni. Tena sikuhizi kuna air mattress, ikitokea upepo yana kaa vizuri storeUmeongea fact,utakuta mtu kajenga nyumba kubwa kuimalizia kasheshe kila weekend utamsikia naenda saiti bora piga 3 rooms na sebule na stoo