Isaack Binya
Member
- Oct 26, 2011
- 33
- 2
Wakuu ndo naelekea huko, nitawajuza kitakachojiri
yah tujuze mkuu coz wengne tunatakiwa kesho,tuweze jua kulikon na hiyo interview inahusisha nin na nin!
Wakuu ndo naelekea huko, nitawajuza kitakachojiri
yah tujuze mkuu coz wengne tunatakiwa kesho,tuweze jua kulikon na hiyo interview inahusisha nin na nin!
tumefanya pepa yenye maswali mawili.
tumefanya pepa yenye maswali mawili.
Dah asavali...manake ningesafiri toka mtwara nije huko dar kufanya maswali 2 tu, wangentaka radhi wahuni hao...!!
Endeleeni kutujuza, hayo maswali yameuliza nini?
yaan mawili tu!yanahusu nin kwa ujumla na muda gan?
Mkuu lilikua ni What are the importances of record management in Social Health insurance industry.Qn1: What do you know about NHIF?
Qn@. What are the importances of record management in NHIF?
Ni kweli wametuita wote kwa ajili ya good governance and transparent au ndio chogi kiini macho wenye kazi zao teyari walishapatiakana....na nini mantiki ya kutaka twende na Vyeti wakati wala hatukukaguliwa....????
Ukiona majina hayatolewi jua ni usanii wanaoufanya,watu wameishapangwa.Hivi ni lini wafanyakaz wa serikalin mtakua na akili za kufanya mambo yenye mantiki?.utaita vip watu ktk usaili bila kutaja majina yao?.