goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,855
- 12,984
Wakuu kwema,
Nikiwa naendelea na harakati zangu za hapa na pale ghafla simu iliita, nikapokea sauti ya mwanaume basi alivyo jitambulisha na kunitaarifu kuwa nifike kituo kikuu cha polisi leo bila kukosa.
Hapa najiuliza kuna shida gani hadi kuitwa huko, sina rekodi yoyote ya kiuhalifu wala sina mdai anaenidai, nawaza sana nakosa majibu.
Najua huku kunamaadvocate, naomba ushauri wao ili kusudi wasije niweka rumande mnk kwani nini wanipigie siku kama ya leo kama siyo wana lengo baya.
Nawasilisha
Nikiwa naendelea na harakati zangu za hapa na pale ghafla simu iliita, nikapokea sauti ya mwanaume basi alivyo jitambulisha na kunitaarifu kuwa nifike kituo kikuu cha polisi leo bila kukosa.
Hapa najiuliza kuna shida gani hadi kuitwa huko, sina rekodi yoyote ya kiuhalifu wala sina mdai anaenidai, nawaza sana nakosa majibu.
Najua huku kunamaadvocate, naomba ushauri wao ili kusudi wasije niweka rumande mnk kwani nini wanipigie siku kama ya leo kama siyo wana lengo baya.
Nawasilisha