jamani tuwe serious! zile za mwezi wa tano nani kaitwa aje atoe ushuhuda hapa, tujue kabisa kama tumekosa. wa mwezi wa nane tuna uhakika coz majina yao yamewekwa mtandaoni
jamani tuwe serious! zile za mwezi wa tano nani kaitwa aje atoe ushuhuda hapa, tujue kabisa kama tumekosa. wa mwezi wa nane tuna uhakika coz majina yao yamewekwa mtandaoni
Jamani, TPDC sijaona wala kusikia kama waliajiri watu kutokana na interviews za mwezi Mei, 2014. Huenda wameshachinja au wanalo jambo. Inashangaza, siku chache zilizopita walitangaza nafasi za kazi na wameshaita watu kuajiriwa.