miss_blossom
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,607
- 2,152
Kwn ukimwambia mtu unampenda ni swali kwamba Unasubili jibu ujibiwe anakupenda piaIyo mbaya sana haina tofauti na umwambie mtu wampenda then yy aseme asante hahaaaaa
Kwn ukimwambia mtu unampenda ni swali kwamba Unasubili jibu ujibiwe anakupenda piaIyo mbaya sana haina tofauti na umwambie mtu wampenda then yy aseme asante hahaaaaa
No vale mm nakupenda ww tu jamaniYani tusijuane tena
Wala staki maelezo ya ziada. ImetoshaNo vale mm nakupenda ww tu jamani
Hujipendi wewe eeh nitakurogaUnafanya mambo ya ajabu ajabu halafu nikiingilia kati unaanza kulalamika!!Nifanye mambo yangu sasa???
![]()
V kwanini hivi lknWala staki maelezo ya ziada. Imetosha
Akaombewe na wengine... Mie nshanawa mikonoHuyu mtu inahitaji maombi ya ziada kumtuliza maana haeleweki
Akaombewe na wengine... Mie nshanawa mikono