Mkuu kumpenda mtu ni uzinzi!?ndiyo mku sababu anakuweka mbali na uzinzi
Mpenzi nijiongeze vipiAcha zako wewe,ukiona unaitwa kaka Jiongeze bana, akili za kuzaliwa changanya na za kuvukia barabara
Ila inakost hiyo mkuungoja ni chukue slogan yako mkuu
Mpenzi nijiongeze vipi
Fafanua kidogo..
Iyo mbaya sana haina tofauti na umwambie mtu wampenda then yy aseme asante hahaaaaa
Daaah sawa bwanaUkiambiwa kipole unajitoa akili ee ngoja nitumie mbinu kaliView attachment 511122
Nitese tu one day
Acha kutetea upuuz...ndiyo mku sababu anakuweka mbali na uzinzi
Unaelewa inavouma ila bs tu unajibalaguza n kuzuga..... Acha io![]()
![]()
![]()
![]()
pasuka