Kuitwa kaka/dada na mtu umpendae

Kuitwa kaka/dada na mtu umpendae

Pole sana...

Don't expect to much from anyone... ukifuata hiyo kanuni hata ukiitwa babu, utaona poa...


cc: mahondaw
 
Hakyamungu mkuu hii kitu inauma sana
Na sipendi kabisa.
Mfano huyu mdada hapa juu [HASHTAG]#Numbisa[/HASHTAG] nampenda sana hope anajua hilo lakini analonifanyia umeliona.
Hua nina slogan moja tu
Dada yangu ni yule aliye nyonya ziwa la mama Yangu tu...
Na mtoto baba m1 mama mbalimbali utamuita mtoto wa baba?
 
Hakyamungu mkuu hii kitu inauma sana
Na sipendi kabisa.
Mfano huyu mdada hapa juu [HASHTAG]#Numbisa[/HASHTAG] nampenda sana hope anajua hilo lakini analonifanyia umeliona.
Hua nina slogan moja tu
Dada yangu ni yule aliye nyonya ziwa la mama Yangu tu...
Ooh good to hear this...

Kumbe wammendea numbisa eeh. Sasa tusijuane kwanzia leo

Cc Shunie Nyagei
 
If you can't defeat join then join.
 
Back
Top Bottom