Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 5,238
- 4,740
hakuna tecno faki,tecno ni branded name tu, maana tecno zinatengenezwa na viwanda vya china ambavyo vinatengeneza simu kwa bunch, kila kampuni inayoweka order inatengenezewa kama ilivyoweka order na otlooking yake. ni kama ilivyo kwa pikipiki za mchina, yaani wanafanya customaization hata mimi naweza irder simu branded nduu/ mamaya, machipset ya mediatek yapo kibaaao na bei chee tofauti na chipset za qualcom