Kuitambua tecno p3 original.

Kuitambua tecno p3 original.

ukiita c++ ila ikafanana na nokia in any way (hardware au software) kwa lengo la kumpumbaza mnunuaji ujue iyo ni feki

hata kitu kikiwa sub standard nacho ni feki. we hujiulizi kwanini tecno yenye specs kubwa ambazo ni equivalent na simu nyingine kama samsung au zingine ila utaona bei yake ni ya chini mnoooo kulinganisha na wengine. wao wanapata wapi malighafi?

uwa husikii apple wamesue samsung kwa kuiga design, na kesi kama izo. tecno hawana hata kiwanda cha simu.

Kwa maelezo yako basi SAMSUNG ni feki. Pia brand zote zilizokuja baada ya iphone ni feki sio? Tumekariri vibaya . Mbona kwa laptops hatusemi kuwa samsung laptop ni feki? au panasonic laptop ni feki?

Kumbuka kwamba this is technology market and price doesnt mean QUALITY. What matters is the specs and durability. People nowadays are not after big brand names.
 
Kwa maelezo yako basi SAMSUNG ni feki. Pia brand zote zilizokuja baada ya iphone ni feki sio? Tumekariri vibaya . Mbona kwa laptops hatusemi kuwa samsung laptop ni feki? au panasonic laptop ni feki?

Kumbuka kwamba this is technology market and price doesnt mean QUALITY. What matters is the specs and durability. People nowadays are not after big brand names.

angalia list hii kisha niambie tecno iko wapi

List of all mobile phone brands - GSMArena.com

wapi utapata review za simu za tecno? zaidi ya vi blog uchwara vya watu wanaoreview wenyewe?

niambie kiwanda cha simu za tecno kiko wapi?
 
angalia list hii kisha niambie tecno iko wapi

List of all mobile phone brands - GSMArena.com

wapi utapata review za simu za tecno? zaidi ya vi blog uchwara vya watu wanaoreview wenyewe?

niambie kiwanda cha simu za tecno kiko wapi?

Kaka inaonesha wewe sio mfuatiliaji wa vitu... kwani nani kakuambia GSMARENA ndio kipimo cha simu bora?

Sasa ujue kwamba gsmarena inaweka simu ambazo ni popular in US . Simu kama tecno na Gionee sio popular in US. Na ujue pia sio kila product ya china ni feki na pia wamarekani hawaipendi china coz ni competitor mkubwa na ni tishio kwao. Hata products kama iphone samsung sony panasonic hitachi jvc dell... na nyingine nyingi tuu zinatokea china.
 
Tecno-TV50.jpg
 

Yaani hujui hata kwamba tecno wanayo website yao?. Hizo review hata samsung na iphone hawaziweki wenyewe kwenye website zao.

Ishu ni kwamba tecno na g tide walikuja na simu zao ambazo zilikuwa na double line always na miundo yao haikuiga simu zingine na pia walitumia OS zao wenyewe yaani proprietary Mobile OS. Wala hawakuweka OS ya nokia wala samsung. Pia tecno ya zamani si kama za sasa ambazo nyingi ni smart na zinatumia general OS ya android.
 
Yaani hujui hata kwamba tecno wanayo website yao?. Hizo review hata samsung na iphone hawaziweki wenyewe kwenye website zao.

Ishu ni kwamba tecno na g tide walikuja na simu zao ambazo zilikuwa na double line always na miundo yao haikuiga simu zingine na pia walitumia OS zao wenyewe yaani proprietary Mobile OS. Wala hawakuweka OS ya nokia wala samsung. Pia tecno ya zamani si kama za sasa ambazo nyingi ni smart na zinatumia general OS ya android.

thank god android ni free ndio maana unaona zimeibuka simu elfu kidogo. kabla ya android tecno zilikuwa kama iyo picha niliyoweka...

kuhusu website hata mimi naweza anzisha yangu.

wapi kuna comparison za tecno na simu zingine?
nnapoona mtu anatumia gtide tecno uwa napata picha ya haraka haraka kuhusu uyo mtu.

Tecno ni feki nikimaanisha ni substandard au counterfeit. ndio maana huawei na zte zimetisha ulaya na marekani....

tecno wametarget africa si wanajua sisi tunapenda cheap. hatujali ubora. kwetu ni dampo....
 
thank god android ni free ndio maana unaona zimeibuka simu elfu kidogo. kabla ya android tecno zilikuwa kama iyo picha niliyoweka...

kuhusu website hata mimi naweza anzisha yangu.

wapi kuna comparison za tecno na simu zingine?
nnapoona mtu anatumia gtide tecno uwa napata picha ya haraka haraka kuhusu uyo mtu.

Tecno ni feki nikimaanisha ni substandard au counterfeit. ndio maana huawei na zte zimetisha ulaya na marekani....

tecno wametarget africa si wanajua sisi tunapenda cheap. hatujali ubora. kwetu ni dampo....

Naongelea official website ya tecno. Ama wewe unamaanisha kwamba unaweza kuanzisha official website ya tecno? Na mimi sidhani kama kwenye website ya nokia kuna comparison na simu nyingine. Kwa kawaida user reviews huwekwa na website za watu wengine tuu. Tena kwa lengo la kutafuta web traffic na kuuza matangazo
 
namaanisha hata mimi nikianzisha kampuni ya simu feki naweza anzisha official website ya simu zangu feki. kwani website ni kazi basi.

We sijui ni wakala wa tecno ama vipi ila all in all tecno ni kama michina mingine tu. wether ni smartphone ama nini...
 
.
Njia ya kuitambua divice original kwa code ....
Siyo faa kwa siku hz za usoni...
.

Kaka tena the easiest way Alitoa Chief-Mkwawa ile ya CPU-Z lkn ukiwa dukani penyewe inaweza kuwa challenging kuja kuiweka hiyo app probably mpaka ufike home

Lkn njia rahisi kwa Simu zote za Samsung bofya *#0*# yaani vitu alivyoweka samsung kwenye hiyo entry iwapo mchina akiviweka na vikafanya kazi...basi ujue hiyo sio copy wala sio fake tena....kwa maneno mengine hawezi kabisa

Tafuta Clone za s4 zote na jaribu kuingia simu yoyote ya samsung uone difference iliyopo....anza na ile part ya sensor tu weka kiganja uone
Clone kwanza hawezi hata jaribu kuweka hiyo sensor maana n kwere ile

sorry for being out of topic but readers will enjoy this
 
namaanisha hata mimi nikianzisha kampuni ya simu feki naweza anzisha official website ya simu zangu feki. kwani website ni kazi basi.

We sijui ni wakala wa tecno ama vipi ila all in all tecno ni kama michina mingine tu. wether ni smartphone ama nini...

Tatizo sio kuwa wakala wa tecno, tunaongelea uhalisia. simu bora ni ile yenye perfomance nzuri yaani "Optimal" Ukiwa kama IT wa ukweli hutatishika na majina. na pia unatakiwa uwe mshauri kwa wale wasiojua.

kama tatizo ni kuiga OS au shape basi ndio humaanisha FAKE , Basi samsung wameiga na ni fake, LG nao ni fake, panasonic nao ni fake, Dell mobile nao ni fake na wengine wengi.... na original itakuwa ni iphone pekee!!

Tudhihirishie weakness za tecno vs samsung vs iTel vs CityCall vs iphone vs nokia etc etc....

kama kweli kuna ushahidi kwamba hii ni fake na hii ni original!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kaka tena the easiest way Alitoa Chief-Mkwawa ile ya CPU-Z lkn ukiwa dukani penyewe inaweza kuwa challenging kuja kuiweka hiyo app probably mpaka ufike home

Lkn njia rahisi kwa Simu zote za Samsung bofya *#0*# yaani vitu alivyoweka samsung kwenye hiyo entry iwapo mchina akiviweka na vikafanya kazi...basi ujue hiyo sio copy wala sio fake tena....kwa maneno mengine hawezi kabisa

Tafuta Clone za s4 zote na jaribu kuingia simu yoyote ya samsung uone difference iliyopo....anza na ile part ya sensor tu weka kiganja uone
Clone kwanza hawezi hata jaribu kuweka hiyo sensor maana n kwere ile

sorry for being out of topic but readers will enjoy this

100% 100%
 
tecno p3 fake na original huwezi kuzitofzutisha kwa macho. ila kuna baadhi ya njia ukizifuata unaweza kuitambua, 1. huchukua muda mrefu kuwaka, 2 unapohitaji kufomati kwa ule mtindo wa vol na power key kwa pamoja haiwezikukupa option ya data wipe/factory reset


tMc5ICm.png
 
kaka japo zote ni mchina lakini zina tofautiana.

Kweli kaka, ila ukikompea tecno na huawei au zte au xiaomi unagundua tecno ni substandard.
Mtu anunue tu tecno coz kaamua mwenyewe ila siwezi recommend mtu anunue iyo simu
 
thank god android ni free ndio maana unaona zimeibuka simu elfu kidogo. kabla ya android tecno zilikuwa kama iyo picha niliyoweka...

kuhusu website hata mimi naweza anzisha yangu.

wapi kuna comparison za tecno na simu zingine?
nnapoona mtu anatumia gtide tecno uwa napata picha ya haraka haraka kuhusu uyo mtu.

Tecno ni feki nikimaanisha ni substandard au counterfeit. ndio maana huawei na zte zimetisha ulaya na marekani....

tecno wametarget africa si wanajua sisi tunapenda cheap. hatujali ubora. kwetu ni dampo....
Yaaani unavo ongea ni dhahiri unaonesha hata shule ndogo tu huna wewe ,yaani unaongea mawazo yako binafsi unataka kuaminisha watu huo uongo wako kwa kukutaarifu tu ni kwamba hakuna tecno feki ,,labda hizo unazo ziongelea ni tecno za huko kwenu lakini sio product ya china by tecno!!techo ni verified company sio kama wewe unavo dhani kuhusu tecno na wala tecno hawatumii blog ,wana wesite yao ambayo ni www.tecno-mobile.com tembelea hapo utapata majibu sahihi,
Hayo mawazo yako yasio kuwa na research yaweke pembeni.fungua akili yako upya,kuhusu bei ,,walicho fanya tecno ni kupinguza baadh ya vitu ambavyo si vya muhimu mfano sensors, aina ya vioo mfano wanatumia lcd na sio gorilla km samsung na zingine, na vitu vingine visivyo kuwa na umuhimu sana katika matumizi ya kawaida, na hiyo mbinu ndio wanayo intumia hata Fastjet katika safari zao kwa kupinguza baadh ya vitu visivyo muhimu ili kubalance bei,
CHA MUHIMU KWAKO . HUJAFAHAMU NINI MAANA YA BIDHAA FAKE,, HILO HASWA NDILO TATIZO LINALO KUSUMBUA NDIO MANA UNALETA HOJA ZAKO BINAFSI WAKATI HUJUI UNACHO KIONGELEA......kama nimekûkera new samehe bure mkuu! Lakini tuna ishi kwa kuelimishana sote tu wajinga!.........OVER,!!,
 
Kweli kaka, ila ukikompea tecno na huawei au zte au xiaomi unagundua tecno ni substandard.
Mtu anunue tu tecno coz kaamua mwenyewe ila siwezi recommend mtu anunue iyo simu
mie pia natumia mchina infinix 5.7-inch Capacitive Touch Display 1.2GHz Quad-core Processor, 1 GB RAM Android 4.2.1 OS (Jelly Bean), Dual-SIM 12 megapixel Camera with Full 1080p HD Video na ina Fast 3G Internet with Wi-Fi ki utendaji naona inafaa sana
 
Yaaani unavo ongea ni dhahiri unaonesha hata shule ndogo tu huna wewe ,yaani unaongea mawazo yako binafsi unataka kuaminisha watu huo uongo wako kwa kukutaarifu tu ni kwamba hakuna tecno feki ,,labda hizo unazo ziongelea ni tecno za huko kwenu lakini sio product ya china by tecno!!techo ni verified company sio kama wewe unavo dhani kuhusu tecno na wala tecno hawatumii blog ,wana wesite yao ambayo ni TECNO Mobile :: Home tembelea hapo utapata majibu sahihi,
Hayo mawazo yako yasio kuwa na research yaweke pembeni.fungua akili yako upya,kuhusu bei ,,walicho fanya tecno ni kupinguza baadh ya vitu ambavyo si vya muhimu mfano sensors, aina ya vioo mfano wanatumia lcd na sio gorilla km samsung na zingine, na vitu vingine visivyo kuwa na umuhimu sana katika matumizi ya kawaida, na hiyo mbinu ndio wanayo intumia hata Fastjet katika safari zao kwa kupinguza baadh ya vitu visivyo muhimu ili kubalance bei,
CHA MUHIMU KWAKO . HUJAFAHAMU NINI MAANA YA BIDHAA FAKE,, HILO HASWA NDILO TATIZO LINALO KUSUMBUA NDIO MANA UNALETA HOJA ZAKO BINAFSI WAKATI HUJUI UNACHO KIONGELEA......kama nimekûkera new samehe bure mkuu! Lakini tuna ishi kwa kuelimishana sote tu wajinga!.........OVER,!!,

Kwenye red i beg to deffer wit u
Thibitisha............
 
Kina vitu kiujumla vinatuchanganya na kuleta sintofahamu hii, kuna>
Simu fake
Simu duni na
Simu orijino

Simu fake ni kutengeneza simu kwa kutumia jina la mwenzako wakati kiuhalisia sio,na kwa kiwango duni
Mfano S4 clone nk nk

Simu duni ni simu ambazo zinatengenezwa kwa kiwango duni kisichokidhi viwango vya kimataifa, most oft IME zao hazitambuliki
Mfano Tecno na mataka taka kibao yaliojaa kariakoo

Simu Original ni simu iliotengenezwa na wahusika walio buni bidhaa hiyo

Sasa hapa utaona wakati mwingine simu inaweza ikawa duni lakini ikawa original kwa maana ya kwamba imetengenezwa na wahusika walio ibuni mfano Tecno
 
Back
Top Bottom