Kuishi na mwanaume bila ndoa

Kuishi na mwanaume bila ndoa

Ndugu zangu natumai hamjambo....hivi hili suala la mwanaume kumwambia mwanamke waishi bila ndoa then wafunge ndoa baadae mnalionaje.

Mimi mwenzenu niko njia panda baada ya boyfriend kusema tuishi bila ndoa.

Je faida na hasara zake hua ni zipi? kwa mliotangulia kuoa ama kuolewa naombeni msaada
Kuna baadhi ya wanaume ni waoga hasa kutokana na maisha waliyoyaona... kutokana na woga/hofu hii basi wanachagua kuwowa kwanza ndoa ni baadae au baadae sana... Wengine wanaishi hata miaka 20 ila ndoa mbado kabisa...Kikubwa ni upendo
na nafsi zenu kiimani
 
Unachunguzwa hapo!!! Kama ukikizi vigezo utafunga ndoa!! Maana amchelew kubadilika nyie

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
Kaa chonjo, ukizingua tu tupa kuleeeeeeee, huwa hamkawiii ninyi
 
Mkuu usikubali kabisaa sio jambo jema kuwa mvumilivu tu wakati wako wa kuolewa utaolewa usilazimishe ndoa

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Sahihi kabisa kwa unalolisema! Lkn huyo mwanaume anasababu gani ya msingi inayomfanya ashindwe kumuoa kwa wakati huo hadi ahitaji aishi naye kwanza? Kwa muda gani pia atahitaji aishi naye hadi ndoa itakapopita? Anavyomuona ana nia ya kweli kumuoa? Je wanaishi karibu kila mmoja? Mwanaume anamsaada gani kwake kwa sasa? Akinijibu maswali hayo nitampa ushauri.
 
Unatakiwa ujiulize maswali ya msingi
1. Kwann hataki kuja kwenu
Mpaka hapo inaonyesha hajiamini na msimamo wake juu ya future yenu
2.sababu zipi zinamfanya akulazimishe muishi pamoja
Bila shaka itakuwa ni kukutumia km mkewe na kukuchakaza katika kipindi hicho ambacho hajafanya maamuzi bado
2. Anakwepa majukumu gani?
Km anajiweza na hataki kuwa commited basi hajakupenda bado mwisho wa siku atakuzalisha na kukunenepesha alafu akaishia kukwambia wewe sio type yangu akaja kuoa mwanamke mbichii wewe tena ushajichokea hapo.
Wanaume ni watu smart sana akikushawishi unaweza ukasema mume ndo huyu lkn siku ya kukugeuka hutakaa uamini macho yako. Km mmedumu miaka mi5 bila shaka umeshamjua vzr na ameshakusoma na anaweza kucheza na saikolojia yako ila trust me, mpaka anakwambia hawez kuja hata kujitambulisha ajulikane kwenu basi ana maamuzi mawilimawili
 
Don't make such a mistake, sikushauri uishi na mtu kiholela tu, mara nyingi consequences zake ni mbaya sana.

UNLESS; afahamike kwenu, atoe posa na kulipa mahari then muwaambie wazazi kuwa ndoa ya kidini mtafunga baadae, otherwise unajiharibia.
 
We nenda kajipeleke kwa mwanaume ambaye hajawa teyari kwa ndoa na majukumu ya kukamilika ndo utakuja kujua nn mana ya mwanaume....ukijidanganya eti ndo ubebe mimba kwamba ndo silaha ya kumvutia...hapo ndo kwisha kabisa....

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Kwa kweli asithubutu kabisa kuzaa na boyfriend. Mwanaume utaishi naye miaka kibao, siku ukibeba mimba bado atakwambia yeye hakuplan so atalea tu mtoto wake, hana mpango wa ndoa na wewe, ndo mwanzo wa kuzaa kila mtoto na baba yake. Plus mtu mmedate miaka 5 na bado anaona haitoshi, unaweza kwenda kuishi naye ukazidi kujichelewesha tu mwenyewe. Uchumba sugu hapana kwa kweli
 
Sasa hataki kuja home kujitambulisha na kulipa mahaur hataki kabisa....sijui anashida gani

Sent from my SM-A800F using JamiiForums mobile app
Dada/wadogo zetu sijui mna tatizo gani, hivi hujaona kuwa hana nia ya kukuoa, can't you see that? If a man wouldn't even want to get acquainted to your family, what do you think his intentions are? Think Tuchki, think young lady.
 
Mhmmhmhmhmhmhmhmh

Inahitaji moyo kwakweli.. Wengine hubadilika wengine wapo serious... Hapo sasa


Ila kwanini muishi kwanza bila ndoa???

Shauri yako.... Na akili kumkichwa

Cc Smart911

Sent from Mrs Smart911 using JamiiForums mobile app
 
Usikubali. Fuata ushauri wangu tafadhali.
 
Don't make such a mistake, sikushauri uishi na mtu kiholela tu, mara nyingi consequences zake ni mbaya sana.

UNLESS; afahamike kwenu, atoe posa na kulipa mahari then muwaambie wazazi kuwa ndoa ya kidini mtafunga baadae, otherwise unajiharibia.

Teh one of my cousins, shemeji alitoa mahari and everything, akaomba akaanze maisha na mkewe na still aligomewa hadi walipofunga ndoa. Tatizo tumerahisisha sana maisha ya ndoa siku hizi.
 
Dada/wadogo zetu sijui mna tatizo gani, hivi hujaona kuwa hana nia ya kukuoa, can't you see that? If a man wouldn't even want to get acquainted to your family, what do you think his intentions are? Think Tuchki, think young lady.
Na wana miaka 5 wanadate; Sometimes tunajipotezeaga muda sisi wenyewe
 
Kwa kweli asithubutu kabisa kuzaa na boyfriend. Mwanaume utaishi naye miaka kibao, siku ukibeba mimba bado atakwambia yeye hakuplan so atalea tu mtoto wake, hana mpango wa ndoa na wewe, ndo mwanzo wa kuzaa kila mtoto na baba yake. Plus mtu mmedate miaka 5 na bado anaona haitoshi, unaweza kwenda kuishi naye ukazidi kujichelewesha tu mwenyewe. Uchumba sugu hapana kwa kweli
Uchumba sugu ni wa mda gani sisy darling??
 
Teh one of my cousins, shemeji alitoa mahari and everything, akaomba akaanze maisha na mkewe na still aligomewa hadi walipofunga ndoa. Tatizo tumerahisisha sana maisha ya ndoa siku hizi.
Safi sana, watu siku hizi wanatafuta easy way, kwani ndoa ina gharama gani ili mtu aseme tutafunga mwaka ujao? Shida kubwa tunachanganya ndoa na sherehe.
 
Safi sana, watu siku hizi wanatafuta easy way, kwani ndoa ina gharama gani ili mtu aseme tutafunga mwaka ujao? Shida kubwa tunachanganya ndoa na sherehe.
Seriously kama mna nia ya dhati ya kuoana, sherehe kubwa sio a big deal kabisa. Ila ndo hivyo tumerahisisha sana maisha ya ndoa na hata kuzaa tu na boyfriend/girlfriend tunaona ni kitu cha kawaida tu.
 
Kuishi bila ndoa Ni zaidi ya uchafu,muepuke shetani maana hiyo Ni mienendo ya shetani aliye laaniwa.
Kama jamaa hataki ndoa basi jitoe nakuhakikishia utampata mume bora kabisa ambaye atakuoa kwa nidhamu na heshima(ndoa).
Nakutakia kila la kheri.
 
Back
Top Bottom