MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,456
- 69,357
Shemeji what up!Me nishaolewa
Miss you so much
Shemeji what up!Me nishaolewa
Thank you brod darlingMkuu Bonny, ndoa (na si sherehe) ni muhimu sana, huwezi kusema watu wanaona ndoa ni kila kitu wakati ndoa is the foundation.
Hivi mtu anayejibeba kwa mwanaume na kuzaa bila future plans zozote unaweza kusema huyo anajielewa? Mkuu are you serious??
Shemeji leo mchana tu nilikuwaza, nilikuchanganya na mtu fulani ndo nikakumbuka kuwa uliaga. Aisee umemissika sana, hope everything is okShemeji what up!
Miss you so much
Harakisha waiter anadai pesa yakeAngiza soda mkuu nakuja kukulipia
Nakuja mkuuHarakisha waiter anadai pesa yake
Shemeji leo mchana tu nilikuwaza, nilikuchanganya na mtu fulani ndo nikakumbuka kuwa uliaga. Aisee umemissika sana, hope everything is ok
Jiulize ww mwenyewe hayo n majukumu yakonikaishi nae Bila ndoa na watoto je?
Sent from my SM-A800F using JamiiForums mobile app
Kumbe unataka harusi me nlijua unataka ndoa ...dah kwahiyo ww unataka kuvaa shela na sio kuvaa majukumu ya familia pole yako tenamila ipi sasa? mie nataka harus na yeye hataki pia naona kama nitapoteza muda kukaa na mtu Bila cheti hata cha ndoa
Sent from my SM-A800F using JamiiForums mobile app
Upo njia panda ndo unaenda kwake. ..?
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Me nlijua anatakiwa alipe mahari lakini kumbe ww unataka ulipiwe mahaurSasa hataki kuja home kujitambulisha na kulipa mahaur hataki kabisa....sijui anashida gani
Sent from my SM-A800F using JamiiForums mobile app
Mkuu kidogo umeghafilika ni miaka 2 consecatively inaitwa presumtion of marriage according 2 Law of marriage ActUkishaishi Na Mwanaume More Than Three Month Tayari Ni Mke Na Mume Hata Mkiachana Kama Kulikuwa Na Mali Lazima Mtagawana Pasu Kwa Pasu Kwa Mujibu Wa Sheria Ya Tanzania