Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,990
Kuzaa kawaida tu kama wote mna malengoSeriously kama mna nia ya dhati ya kuoana, sherehe kubwa sio a big deal kabisa. Ila ndo hivyo tumerahisisha sana maisha ya ndoa na hata kuzaa tu na boyfriend/girlfriend tunaona ni kitu cha kawaida tu.