Kuishi na mwanaume bila ndoa

Kuishi na mwanaume bila ndoa

Ndugu zangu natumai hamjambo,

Hivi hili suala la mwanaume kumwambia mwanamke waishi bila ndoa then wafunge ndoa baadae mnalionaje.

Mimi mwenzenu niko njia panda baada ya boyfriend kusema tuishi bila ndoa.

Je faida na hasara zake hua ni zipi? Kwa mliotangulia kuoa ama kuolewa.

Naombeni msaada

Ukiona hivyo ujue hajakuona kama wewe ni wife material.! Bado uko kwenye probation.
 
Emotions zikitawala, logic huwa haitumiki tena na kuingia ni rahisi kuliko kutoka. Kwa kweli hadi ifike hiyo miaka 3, ntamsurprise vizuri tu
Then utumie hzo hzo emotions kudeal na kuachwa after five years kwa maana kama kila kitu kiko Sawa mwanaume Ana maisha yake plus na wewe mdada maisha yashaanza kuwa stable why ukubali kuambiwa kila siku kuwa bado najipanga utakuwa una wazimu
 
Hv what is the difference ukizaa kabla ba baada ya ndoa embu nsaidie hapo
Hivi mtu ambaye huna uhakika na future naye unapangaje kuzaa naye? Ukizaa na gal friend wa kwanza what's the guarantee kuwa hutozaa na mwingine? None of them is your wife so far. Then utaelewa tu situation vizuri utakapokuwa umezaa bila mpangilio na watoto wengine wanaishia kulelewa na wanaume wengine. To each his own though
 
Then utumie hzo hzo emotions kudeal na kuachwa after five years kwa maana kama kila kitu kiko Sawa mwanaume Ana maisha yake plus na wewe mdada maisha yashaanza kuwa stable why ukubali kuambiwa kila siku kuwa bado najipanga utakuwa una wazimu
Haha tutazitumia tu after kuachwa
 
Subiri ndoa.... ukifika 30yrs utajua tu kua dunia hii sio ya bashite..mnataman ndoa kuringishiana wakat ndan ya ndoa hakuna aman

Sent from my SM-N910C using JamiiForums mobile app
 
Hivi mtu ambaye huna uhakika na future naye unapangaje kuzaa naye? Ukizaa na gal friend wa kwanza what's the guarantee kuwa hutozaa na mwingine? None of them is your wife so far. Then utaelewa tu situation vizuri utakapokuwa umezaa bila mpangilio. To each his own though
Achana na mapenz yenu ya uboifrend na ugirfriend nazungumzia mtu mwenye malengo yenu before marriage hamuwez kuzaa
 
Achana na mapenz yenu ya uboifrend na ugirfriend nazungumzia mtu mwenye malengo yenu before marriage hamuwez kuzaa
Mie ndoa kwanza ndo hayo malengo mengine yaje. Sina hayo malengo na a mere boyfriend, anaweza kupita tu kama wengine walivyopita
 
Haha tutazitumia tu after kuachwa
Ndio mzitumie vzur ili msje kusema kwamba wanaume wabaya
Maana hata Mie aisee nakupiga sound kila mwaka unakubal tu walah asilimia za kukuacha ni kubwa sana inabd uwe na misimamo cz wewe nategemea uwe mama mwenye nyumba sasa kama kila kitu Sawa tu wewe na emotions zako shubaamit
 
Ndio mzitumie vzur ili msje kusema kwamba wanaume wabaya
Maana hata Mie aisee nakupiga sound kila mwaka unakubal tu walah asilimia za kukuacha ni kubwa sana inabd uwe na misimamo cz wewe nategemea uwe mama mwenye nyumba sasa kama kila kitu Sawa tu wewe na emotions zako shubaamit
Unaongea na mimi au mtoa mada? Mie mwenyewe mpiga sound
 
Huwezi kununua suti au vazi bila kwanza kulijaribu. Watu wengi hawawezi. Ukifanya hivyo halafu baadaye ugundue kwamba halikutoshi, utakuwa umepoteza wakati na pesa zako.

Unless unajua size yako na unahakika litafiti.

Sijasema mm....na mm nimesikia sehemu.
Angiza soda mkuu nakuja kukulipia
 
Mie ndoa kwanza ndo hayo malengo mengine yaje. Sina hayo malengo na a mere boyfriend, anaweza kupita tu kama wengine walivyopita
Ndio shida yenu mnaona ndoa ndio kila kitu mbona wenzetu wanaojielwaa wanazaa tu before marriage tatzo tunapenda zaid zile kwaito n.a. yale magaun meupe bila kujua the drive in between you two
 
Ndio shida yenu mnaona ndoa ndio kila kitu mbona wenzetu wanaojielwaa wanazaa tu before marriage tatzo tunapenda zaid zile kwaito n.a. yale magaun meupe bila kujua the drive in between you two
Ndo maana nikasema to each his own, kwa wengine it works perfectly; so muwatafutatage tu hao wakuwazalia before ndoa. Wapo wengi tu, tena wengine wanategesha hadi na mimba wenyewe. Sisi waamini ndoa mtupitage tu. Nimeongelea ndoa sio harusi hapo

Afu huko kujielewa unakokuongelea ni kupi? Wait uwe baba afu binti yako awe anabeba tu mimba akiwa home then utapata picha anajielewa kiasi gani na the drive between her and her man.
 
Ndio shida yenu mnaona ndoa ndio kila kitu mbona wenzetu wanaojielwaa wanazaa tu before marriage tatzo tunapenda zaid zile kwaito n.a. yale magaun meupe bila kujua the drive in between you two

Mkuu Bonny, ndoa (na si sherehe) ni muhimu sana, huwezi kusema watu wanaona ndoa ni kila kitu wakati ndoa is the foundation.

Hivi mtu anayejibeba kwa mwanaume na kuzaa bila future plans zozote unaweza kusema huyo anajielewa? Mkuu are you serious??
 
Back
Top Bottom