Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,655
- 8,584
Sory Nimekosea MkuuMkuu sheria inataka kuishi miaka 2 na zaidi na sio zaidi ya miezi 3
Sory Nimekosea MkuuMkuu sheria inataka kuishi miaka 2 na zaidi na sio zaidi ya miezi 3
majirani ndio cheti watakuwa mashahidi hahahaha
Asante mkuu mnanifarij sana....muishi kwa kipindi kipi mpaka awe tayari kuwa mume? inakuaje mtu anakuwa tayari kuishi na wewe bila ndoa ila kuishi kwenye ndoa ndo iwe ngumu? sasa mtaishi kama nani utakuwa bado gf au? Na vp kuanzisha familia na watoto? ndugu yangu kuna leo na kesho kuishi na mtu bila ndoa ni dhambi mana mnazini, maisha yenyewe haya watu wanadondoka kila siku, sikuombei mabaya ile kesho umedondoka hiyo dhambi inakuwa vepeee? TAFAKARI CHUKUA HATUA
AsanteMkuu usikubali kabisaa sio jambo jema kuwa mvumilivu tu wakati wako wa kuolewa utaolewa usilazimishe ndoa
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Sasa kama yeye ndo anamatatizo na vituko mie nitafanyaje? huoni mimi baadae mtaniita single motherKumbe Unataka Harusi Siyo Ndoa Halafu Baadaye Uanze Vituko Kwa Mumeo Aisee
Presumption inabaki presumption!Section 160 (1) of the Law of Marriage Act ( CAP 29 R.E. 2002) says that where it is proved that a man and woman have lived together for two years or more, in such circumstances as to have acquired the reputation of being husband and wife, there shall be a rebuttable presumption that they were duly married.
Nimekupa angalizo kwa mujibu wa sheria, ila akili kumkichwa, au wewe unataka ndoa sherehe ya ukumbini.
Hii ipo sana mjini inaitwa kusogezana, wajanja wengi wanafanya hivyo then baadae wanakuja kubariki hicho kitumbua, tu kama alivyofanya mdau prof jizo hivi karibuni
Wewe Hujawahi Kuishi na Mwanaume wala Hujui, Vile vile Hujui Kuwa Baba yako na Mama Yako walipitia utaratibu upi mpaka kufika hatua ya kukupata wewe. Vile vile huna Shangazi wala Ndugu kwenye Ukoo wenu ambaye ameshawahi Kuoa au kuolewa akawa Mfano wa kujua utaratibu alioupitia Mpaka kuharalisha kuwa Pamoja.ni boyfriend anataka nikae nae Bila ndoa yoyote Ile ananiahidi baadae tuje tufunge ndoa nikimwambia aje home hataki anataka niende kwao tuu halafu tuishi sasa mimi kwa vile sijui wala sijawahi ishi na mwanaume ndo nimeamua kuomba ushauri kwa waliotangulia
Sent from my SM-A800F using JamiiForums mobile app
tatizo hataki kuja homeMna muda gani kwenye mahusiano?
kama hamna muda mrefu yawezekana bado hajajiridhisha na tabia zako anataka muishi pamoja ili ujisahau uonyeshe makucha yako.
AU
Wewe ni mtu unayependa sherehe? Yawezekana jamaa hataki hizo mambo.
Wewe ni mkristo au muislamu?
Hata kama ni mkristo.
Mwambie jamaa akutolee posa na uwaelekeze wazazi wasimgonge kwenye mahali, yawezekana anahofia hizo mambo.
mnaweza kwenda kanisani mkafunga ndoa, sherehe hua ni mbwembwe zetu walimwengu.
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Upo njia panda ndo unaenda kwake. ..?
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Kua mkweli,sema unataka harusi na baada ya hapo uendelee na mambo yako,kama kutoka na maex wako,wanawake bhana...mila ipi sasa? mie nataka harus na yeye hataki pia naona kama nitapoteza muda kukaa na mtu Bila cheti hata cha ndoa
Sent from my SM-A800F using JamiiForums mobile app
tatizo hataki kuja home
Sent from my SM-A800F using JamiiForums mobile app


we nae kuna watu hatuna wazazi wala hatuna watu wa karibu kama ilivyo wewe pia hapa ni muunganiko wa watu wenye experience kama hutaki kuchangia Kaa kimyaWewe Hujawahi Kuishi na Mwanaume wala Hujui, Vile vile Hujui Kuwa Baba yako na Mama Yako walipitia utaratibu upi mpaka kufika hatua ya kukupata wewe. Vile vile huna Shangazi wala Ndugu kwenye Ukoo wenu ambaye ameshawahi Kuoa au kuolewa akawa Mfano wa kujua utaratibu alioupitia Mpaka kuharalisha kuwa Pamoja.
Juzi Nilikuwa najiuliza hivi ina Maana Vijana wa siku hizi Hawana Akili ya Kujiongoza Maake kuna vitu vinaandikwa humu Kuhitaji Msaada au Ushauri ukiiangalia Mpaka Unashindwa Kuelewa aina ya Kizazi Tulichonacho.
Hivi Kweli Jambo Kama hilo Unashindwa Kumshirikisha hata Mama Yako? Siku Hizi Vijana wa Kike hamna Urafiki na Mama Zenu, Dada zenu, Shangazi Zenu, au?
JF Punguzeni Kuruhusu Thread za Namna Hiii.. Zinatuabisha na Kutuonyesha Elimu tunazosoma hazitukombowi...
Huo Ni uasherati,epuka uasherati,ataenda kwenu kutaka kuoa nini kama papuchi ashalichakaza?Think Tuchki Think!Unaelewa?Wakristo ndio mna shida hii!and then you end up wasting alot of time mwisho uje utake kuolewa na mtu mwingine akute kila kitu used!alipe mahari mfunge ndoa msubiri hizo sherehe zenu mkiwa mnaishi pamoja!Ndugu zangu natumai hamjambo....hivi hili suala la mwanaume kumwambia mwanamke waishi bila ndoa then wafunge ndoa baadae mnalionaje.
Mimi mwenzenu niko njia panda baada ya boyfriend kusema tuishi bila ndoa.
Je faida na hasara zake hua ni zipi? kwa mliotangulia kuoa ama kuolewa naombeni msaada
kwa hiyo nikaishi nae hivyo hivyoKua mkweli,sema unataka harusi na baada ya hapo uendelee na mambo yako,kama kutoka na maex wako,wanawake bhana...
Usidhani kua akidondoka huku akiwa kwenye ndoa ni tiketi yakuionja pepo,je ambao wako kwenye ndoa nabado wanasaliti ndoa,wao wakifa huenda peponi kisa wamefunga ndoa na waume zao ambao huwa tunawaona wanasalitiwa... ndoa siku hizi ni fasheni tu,tena wengine huwa mnafunga mkiwa wajawazito.muishi kwa kipindi kipi mpaka awe tayari kuwa mume? inakuaje mtu anakuwa tayari kuishi na wewe bila ndoa ila kuishi kwenye ndoa ndo iwe ngumu? sasa mtaishi kama nani utakuwa bado gf au? Na vp kuanzisha familia na watoto? ndugu yangu kuna leo na kesho kuishi na mtu bila ndoa ni dhambi mana mnazini, maisha yenyewe haya watu wanadondoka kila siku, sikuombei mabaya ile kesho umedondoka hiyo dhambi inakuwa vepeee? TAFAKARI CHUKUA HATUA
Sasa hataki kuja home kujitambulisha na kulipa mahaur hataki kabisa....sijui anashida ganiHuo Ni uasherati,epuka uasherati,ataenda kwenu kutaka kuoa nini kama papuchi ashalichakaza?Think Tuchki Think!Unaelewa?Wakristo ndio mna shida hii!and then you end up wasting alot of time mwisho uje utake kuolewa na mtu mwingine akute kila kitu used!alipe mahari mfunge ndoa msubiri hizo sherehe zenu mkiwa mnaishi pamoja!
Ila aendelee kuzini rejareja sindiyo?Mkuu usikubali kabisaa sio jambo jema kuwa mvumilivu tu wakati wako wa kuolewa utaolewa usilazimishe ndoa
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
we nae kuna watu hatuna wazazi wala hatuna watu wa karibu kama ilivyo wewe pia hapa ni muunganiko wa watu wenye experience kama hutaki kuchangia Kaa kimya
Sent from my SM-A800F using JamiiForums mobile app
Hakutaki ndiyo jibu sahihi,akihamishwa kikazi wakati unaishi naye harudi anhamisha mwingine.Think lady Think!Sasa hataki kuja home kujitambulisha na kulipa mahaur hataki kabisa....sijui anashida gani
Sent from my SM-A800F using JamiiForums mobile app