Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,415
- 30,132
tena unaishi zako kwa raha bila stressEti buana...
Wakati kamchep kamoja tu kanatosha ka kuenda nako mitoko na pilika za mjini...
tena unaishi zako kwa raha bila stressEti buana...
Wakati kamchep kamoja tu kanatosha ka kuenda nako mitoko na pilika za mjini...
Yah..thamami za ndani, chakula cha kila siku, misosi, vinywaji, utilities (Umeme, maji, gesi), bima ya afya au gharama za matibabu, n.kZipi kwa mfano?
Misosi na vinywaji?