Kama unaye Mchepuko ni vizuri kujitambua kuwa unavyo ishi naye unatumia akili au umeshatekwa akili na kuwa hamnazo;
Fuatilia yafuatayo;
Fuatilia yafuatayo;
- Ukishaona unagharamia mchepuko kuliko familia yako; Jua unastahili kupelekwa Mirembe ukatibiwe ugonjwa wa akili.
- Ukishaona unagharamia mchepuko kuliko wazazi wako kijijini; Jua tu wewe kichwani hamnazo
- Watoto wako wanafukuzwa shule kwa kukosa Ada huku uko bize na mchepuko, wahi mirembe ukatibiwe ugonjwa wa akili
- Watoto wanasoma shule za kata huku unatumbua na mchepuko; jua wewe hamnazo
- Ukiona Mchepuko haendi Msikitini/kanisani jua huyo ni Danga/M*laya!
- Mchepuko hataji chochote kizuri/positive kuhusu familia yako jua huyo ni Danga/M*laya!
- Mchepuko anadai hela tu kama ETM (kila siku anabadilisha tatizo) hilo ni Danga/M*laya!
- Mchepuko hawazii kujitegemea, kufanya chochote cha kumpa kipato; Danga/M*laya!