Naishi ruvuma. Hakuna iyo hela
Idiot. Utani wa ungonini ni kwamba mwanaume mpe pesa apeleke pahala itafika salama ila sio mwanamkeSema wewe ndo huna hiyo pesa lakini ipo
Kwani Malawi wanatumia nn mkuuDogo unafeli. Kwacha inatumika Zambia. Kwa hapa bongo unaweza ukaiona tunduma coz NI boda na Zambia. Ruvuma haipakani na Zambia hata nukta.
Malawi shilingiKwani Malawi wanatumia nn mkuu
hapana mkuu Malawi wqnatumia kwacha,, lakini kwacha yao tofauti thamani na ile ya Zambia yao inathamani kuliko shilingiMalawi shilingi
Ujuaji mwingi mbele Giza.Malawi shilingi
Hapo kanikosea mwanaLiparambaRuvuma na kwacha wapi na wapi. Unajua kwacha inatumika nchi gani?
Wongo mi nakaa huku sijawahi taha iyonaUsikariri mkubwa hiyo hela imejaa kibao huku mtaani sio mpakani tuu
Sema huna wewe huwezi kuiona kama hufanyi biashara ya hela nyingi
Sawa mkuu[emoji1787][emoji1787]Tukutane hupo kiboriloniView attachment 967800
Ukijua kusoma na kuandika tu unapewa ukuu wa KayaVP koromije