Kuishi/kusoma kwenye nchi za G7 vs BRICS

Kuishi/kusoma kwenye nchi za G7 vs BRICS

ukitaka kujua wapi kuna mziki na soka linatajilisha ndiko huko huko zamia g7. kwingine huko hutajiliki kwa kipaji wala biashara. BRIC ni bora kuishi baidoa somalia kuliko huko. chunguza baraza la mawaziri lao huko huko Bric, je kuna damu ya mtu mweusi? hakuna!
 
Naona mabishano ya Brics na G7 naomba kuuliza wewe ukipewa ofa ya kuishi au kusoma nchi za G7 ambazo Ni Marekani, uingereza, Canada, Italy, Ufaransa, Ujerumani, Japan na kusoma au kuishi kwenye nchi za BRICS ambazo ni Urusi, China, Brazil, South Africa na India

Utachagua kwenda kuishi/kusoma kwenye nchi gani?

Toa sababu

Hope hapa ndo tutaona upande upi una ushawishi mkubwa duniani
China kwa sababu nataka kujifunza mapinduzi ya kiuchumi waliyoyafanya ndani ya muda mfupi tu wa takribani miaka arobaini [40] mpaka Sasa tokea 1976 kutoka third world country [ nchi masikini] mpaka first world country [ nchi tajiri na namba mbili kwa uchumi duniani] jambo ambalo sisi nchi maskini Tanzania linaweza kutusaidia
 
umewahi kusikia wapi mtu kazima meli na kuibukia India, Urusi au china? huko ni jua la utosi kabisaa tena wabaguzi sana . mahala pa kwenda siku zote ni G& tuu.hata hao wachina na warusi mahella yao yote wameyafukia G7
Haaaaa
 
Naona mabishano ya Brics na G7 naomba kuuliza wewe ukipewa ofa ya kuishi au kusoma nchi za G7 ambazo Ni Marekani, uingereza, Canada, Italy, Ufaransa, Ujerumani, Japan na kusoma au kuishi kwenye nchi za BRICS ambazo ni Urusi, China, Brazil, South Africa na India

Utachagua kwenda kuishi/kusoma kwenye nchi gani?

Toa sababu

Hope hapa ndo tutaona upande upi una ushawishi mkubwa duniani
Hizo nchi za Brics ni wabaguzi mbwa hao yaani mwenye unafuu ni mchina tu
 
Nendeni G7 mkajifunze na tabia zao mbaya za ketetea upinde wa rangi saba
 
Naona mabishano ya Brics na G7 naomba kuuliza wewe ukipewa ofa ya kuishi au kusoma nchi za G7 ambazo Ni Marekani, uingereza, Canada, Italy, Ufaransa, Ujerumani, Japan na kusoma au kuishi kwenye nchi za BRICS ambazo ni Urusi, China, Brazil, South Africa na India

Utachagua kwenda kuishi/kusoma kwenye nchi gani?

Toa sababu

Hope hapa ndo tutaona upande upi una ushawishi mkubwa duniani
G7 ni dunia nyingine hao warusi wenyewe na other eastern europeans, indians, chinese, brazilianz wanakimbilia huko.
 
BRICS ipo hadi Afrika ya kusini, vipi nao ni weupe?

Ubaguzi, hivi Kuna Taifa lenye ubaguzi kama Italia? Hispania na Marekani Ile shirikisho?

Unaweza kushindanisha Taifa gani level ya IQ zidi ya Mchina hapa duniani?

Mnafahamu Purchasing power parity ya BRics inaizidi European union na Marekani?

Hivi mnajua Kwa upande wa Teknolojia ya Siraha, hakuna wa kuifikia Urusi?

Unajua promising emerging market ni India na Brazil hapa ulimwenguni? Na sio Shrinking economy za Ulaya na Marekani?

Nitachagua msipopenda Wengi ila kati ya Urusi au China
 
ukitaka kujua wapi kuna mziki na soka linatajilisha ndiko huko huko zamia g7. kwingine huko hutajiliki kwa kipaji wala biashara. BRIC ni bora kuishi baidoa somalia kuliko huko. chunguza baraza la mawaziri lao huko huko Bric, je kuna damu ya mtu mweusi? hakuna!
Mbaya zaidi ukiwa tajiri watataka ufirane au ufirwe. Ukianza kugoma wanakutia stress hadi mwenyewe utabugia cocaine.😂😂😂
 
China kwa sababu nataka kujifunza mapinduzi ya kiuchumi waliyoyafanya ndani ya muda mfupi tu wa takribani miaka arobaini [40] mpaka Sasa tokea 1976 kutoka third world country [ nchi masikini] mpaka first world country [ nchi tajiri na namba mbili kwa uchumi duniani] jambo ambalo sisi nchi maskini Tanzania linaweza kutusaidia
Mapinduzi ya uchumi ni hayaji kwa kulea viongozi wapuuzi madarakani😂 et walamba asali!
 
We si umeona juzi kati waziri Mkuu wa UK BoJo anawaomba wanasayansi wa Urusi waende nchini kwake kuwapiga msasa wanasayansi wake. Iskander M ni noma hahahahaha
Nalog off  Z
Naona manyumbu mliokuwa brainwashed mnajipa moyo.

Fanya kazi, achana na mastori uchwara ya kujifariji.
 
Kila mtu I mean Kila mtu ndoto yake ni kuishi na/au kusoma G7 esp kiwanja USA baby.

Huko kwingine watu huenda baada ya plans zao za kwenda G7 kufeli ndo maana hata visa za huko hutolewa kama pipi.

Miarabu yenyewe, wasomali na wale wote wanaoipondea USA Kila siku kwamba ni shetani wakipata nafasi hawaendi Saudi Arabia au ME bali hukimbilia North America na western Europe na wakibaniwa hulia kama watoto.

Hao BRICS ni utopolo tu. Kuliko kwenda India bora nibaki sokomatola tu.
 
BRICS ipo hadi Afrika ya kusini, vipi nao ni weupe?

Ubaguzi, hivi Kuna Taifa lenye ubaguzi kama Italia? Hispania na Marekani Ile shirikisho?

Unaweza kushindanisha Taifa gani level ya IQ zidi ya Mchina hapa duniani?

Mnafahamu Purchasing power parity ya BRics inaizidi European union na Marekani?

Hivi mnajua Kwa upande wa Teknolojia ya Siraha, hakuna wa kuifikia Urusi?

Unajua promising emerging market ni India na Brazil hapa ulimwenguni? Na sio Shrinking economy za Ulaya na Marekani?

Nitachagua msipopenda Wengi ila kati ya Urusi au China

Yote uliyoongea ni utopolo na wishful thinking. Nini Kati ya hayo yanakusaidia wewe moja kwa moja? Nchi kuwa na watu wenye IQ na purchasing power kubwa inakusaidia nini wewe binafsi? Vichina na mihindi yenyewe inakimbilia North America na western Europe habari gani wewe Mmatumbi.

Taja mgeni hata mmoja let alone mtu mweusi aliyefanikiwa huko kweli kweli Mimi nikutajie mamia waliotoboa USA wakiwa first generation immigrants.

Unajua bongo watu waliosoma Russia na China wanavyodharauliwa? Unajua watumishi wa balozi za BRICS countries wanavyochukuliwa poa comparing to their counterparts wanaofanya kwenye balozi za G7? That should tell you something.

Leo hii Wewe ukienda kusoma China unapewa elimu tofauti kabisa na anayosoma mchina mwenyewe sababu huelewi Lugha yao na ubaguzi kwao bado ni legal.
 
Mtoa mada tambua Kwanza wakati Babu zako wanapata uhuru ,walitibiwa na madaktari walisomea Russia Tena bure Nyerere hakulipia Ada ,....
 
Back
Top Bottom