Kuishi Duniani hakuhitaji Akili (Siri iliyojificha)

Kuishi Duniani hakuhitaji Akili (Siri iliyojificha)

Ni kweli mkuu maana kuna watu wanaookota makopo wanakula jalalani na wanaishi tukiwa kama hao sawa

Il a sasa tutakula cha jalala lipi maana wanaotupa jalalani ni wetumia akili
 
ili umuelewe mtoa mada inabidi ufikilie kiundani zaid na sio juu juu tu kamwe hautamuelewa.

mtoa mada ili somo lako lieleweke zaidi jaribu kutumia neno lingine badala ya akili huwenda watakuelewa.
 
Mungu alikupa akili za nini?


Mungu alikupa akili za kumheshimu na kumtii na sio kukimbizana na maisha. Ukitumia akili yako kwa Mungu utawin life. Maisha ni simple Mkuu
 
Upo sahihi kwa wenye akili, Mungu anajua yote tunayo yahitaji! Na ni hayo tu tutakayo ya pata. Kweli sisi tunateseka kwa mawazo yetu ya tamaa ya kupenda vizuri. Na bado hatupati.


Usishangae wanaojifanya wanaakili ndio wanaoishi maisha magumu sana
 
Back
Top Bottom