Kuishi Dar ndio dharau kiasi hiki

Kuishi Dar ndio dharau kiasi hiki

Good_ i will buy you a drink.

Dar sipapendi sasa hivi so crowded huwezi endesha gari kwa raha foleni .nafikiria kujenga another vacation home far from
Daresalaam .yaani nikijaga bongo mimi na basi tu maana gari duh nomaaa.muda umefika watu kujenga mikoa mingine.
 
kuna jamaa yangu anayeishi dar nilimkopesha tsh 200,000 mwezi desemba 2012 kwa ahadi ya kurudisha ndani ya mwezi 1.
Nina jaribu kumwomba anirudishie anakua mkali,anasema hana fedha kama polisi nimpleke,kwanza yeye ni mtoto wa mjini(dar), hakuna mtu yeyote wa mkoani anambabaisha wa mkoani wote washamba tu na vijidudumtu.

wanaJF uyu bwana katumia defence mechanism ili nisimdai,na mbaya zaidi hatukuandikishia kwani nilimuamini.

je Kuna mbinu yoyote ya kumfanya uyu bwana anilipe? au niandike maumivu

Kama hiyo dau siyo material sana kwako achana na huyo kichaa wewe jua lako. Hata mimi ilishawahi kunitokea mtu wa Dar lakini siyo mwanajamii kisha kurudisha hataki.

Nilichokifanya baada ya kuona ni mbabaishaji ni kukaa nae mbali sana na mpaka saizi hata awe na shida kiasi gani hawezi tena kuleta utapeli wake.

Siku akinilipa nachukua hela yangu halafu akileta sound nyingine akopeshwe nampiga chini.

Kwa hiyo isikipotezee muda kufunga safari kwa ajili ya Tshs 200,000.00 au unatumia 150,000.00 gharama au zaidi kwa ajili hiyo.

Pole kaka lakini ndiyo maisha hayo.
 
Umekuja hapa JF kuomba msaada wa kumpata mbaya wako au kuijua kama Dar ni ya aina gani?

Kukusaidia hata muuaji wa Padre Zenji alikimbilia Dar, jiulize kwanini asingeenda kufanya shughuli zake pengine?
 
Achana nae wapo wengi sana hapa mjini wa style hiyo. ila nadhani umejifunza. Kuanzia leo kopesha watu kwa maandishi tena mbele ya mashaidi kama mtu hataki hiyo style mwambie asonge mbele. kuna mabank etc........
 
Mkuu inategemea, kuna watu wako nje ya Dar na mambo yao ni mazuri sana na hawaitamani, na kuna watu hapa Dar ni hoi ile mabaya kabisa.

Hivi mnaelewa mnapoichambua misemo yenu? Mkatae mkubali Dar ni kila kitu, mikoani tunakuja kutafuta hela tu lakini hata mambo mazuri yote yanapatikana Dar, angalia leo sikukuu kubwa Tamasha kubwa la Pasaka lafanyika Dar
 
Umekuja hapa JF kuomba msaada wa kumpata mbaya wako au kuijua kama Dar ni ya aina gani?

Kukusaidia hata muuaji wa Padre Zenji alikimbilia Dar, jiulize kwanini asingeenda kufanya shughuli zake pengine?


kuna jamaa yangu anayeishi dar nilimkopesha tsh 200,000 mwezi desemba 2012 kwa ahadi ya kurudisha ndani ya mwezi 1.
Nina jaribu kumwomba anirudishie anakua mkali,anasema hana fedha kama polisi nimpleke,kwanza yeye ni mtoto wa mjini(dar), hakuna mtu yeyote wa mkoani anambabaisha wa mkoani wote washamba tu na vijidudumtu.

wanaJF uyu bwana katumia defence mechanism ili nisimdai,na mbaya zaidi hatukuandikishia kwani nilimuamini.

je Kuna mbinu yoyote ya kumfanya uyu bwana anilipe? au niandike maumivu
 
Mpotezee, fanya kama umepoteza hiyo hela, hlf endelea kumuomba Mungu afanye kitu, nakuhakikishia ipo siku atakuja, tena akiwa anatembelea magoti, wewe omba tu, siku moja utaleta mrejesho hapa
kuna jamaa yangu anayeishi dar
nilimkopesha tsh 200,000 mwezi desemba 2012 kwa ahadi ya kurudisha
ndani ya mwezi 1.
Nina jaribu kumwomba anirudishie anakua mkali,anasema hana fedha kama
polisi nimpleke,kwanza yeye ni mtoto wa mjini(dar), hakuna mtu yeyote wa
mkoani anambabaisha wa mkoani wote washamba tu na vijidudumtu.

wanaJF uyu bwana katumia defence mechanism ili nisimdai,na mbaya zaidi
hatukuandikishia kwani nilimuamini.

je Kuna mbinu yoyote ya kumfanya uyu bwana anilipe? au niandike
maumivu
 
Kama una mshkaji wako ambaye ni askari au mwanajeshi jaribu kumtumia kwa ahadi utampatia hata elfu 50 pesa ikiingia. Ni bora upate angalau sehemu ya pesa yako kuliko kuipoteza kabisa. Ikiwezekana jamaa wakimchimba mkwara vizuri anaweza kulipa na ya usumbufu mkuu.
Siku ingine usipende kuwakopesha marafiki walioko mbali pesa yako. Hata kama yupo jirani jitahidi sana kuangalia life style yake, vyanzo vyake vya kifesha, reputation yake kwa jamii, kiasi anachokukopa n.k siku zote zikiliza hisia zako, ukiona una mashaka mwambie huna hiyo pesa nawe ulikuwa na mpango wa kumkopa.
Jambo jingine la kuangalia, ni kwamba usipende kumkopesha mtu kiasi kilekile anachokukopa .....kama ukikopwa laki mbili unamwambia mkopaji sina hiyo labda nikukopeshe elfu hamsini niliyo nayo na nyingine utaongezea mahala pengine.

Maisja yamekuwa magumu sana kipindi hiki cha JK hivyo ni vyema kuwa makini na utokaji wa pesa uliyo nayo.
kuna jamaa yangu anayeishi dar nilimkopesha tsh 200,000 mwezi desemba 2012 kwa ahadi ya kurudisha ndani ya mwezi 1.
Nina jaribu kumwomba anirudishie anakua mkali,anasema hana fedha kama polisi nimpleke,kwanza yeye ni mtoto wa mjini(dar), hakuna mtu yeyote wa mkoani anambabaisha wa mkoani wote washamba tu na vijidudumtu.

wanaJF uyu bwana katumia defence mechanism ili nisimdai,na mbaya zaidi hatukuandikishia kwani nilimuamini.

je Kuna mbinu yoyote ya kumfanya uyu bwana anilipe? au niandike maumivu
 
heheheeh we ulikuwa hujui kuishi Dar tu ni sawa na Form Six!??? teh teh teh...
 
We mchunie mpk cku utakapoenda dar ukfika tafuta vjana wakaz wape elf50 tu watamalza kaz mda fup kisha ww sepa zako
 
Mwambie utamfanyizia...
watu wa Dar wengi wanaogopa watu wa mikoani kwa ushirikina
mwambie umeshaongea na bibi yako kasema ikipita mwezi hajakulipa na asilipe tena
yeye bibi anajua atakachokifanya

hahahaha
 
Kama una mshkaji wako ambaye ni askari au mwanajeshi jaribu kumtumia kwa ahadi utampatia hata elfu 50 pesa ikiingia. Ni bora upate angalau sehemu ya pesa yako kuliko kuipoteza kabisa. Ikiwezekana jamaa wakimchimba mkwara vizuri anaweza kulipa na ya usumbufu mkuu.
Siku ingine usipende kuwakopesha marafiki walioko mbali pesa yako. Hata kama yupo jirani jitahidi sana kuangalia life style yake, vyanzo vyake vya kifesha, reputation yake kwa jamii, kiasi anachokukopa n.k siku zote zikiliza hisia zako, ukiona una mashaka mwambie huna hiyo pesa nawe ulikuwa na mpango wa kumkopa.
Jambo jingine la kuangalia, ni kwamba usipende kumkopesha mtu kiasi kilekile anachokukopa .....kama ukikopwa laki mbili unamwambia mkopaji sina hiyo labda nikukopeshe elfu hamsini niliyo nayo na nyingine utaongezea mahala pengine.

Maisja yamekuwa magumu sana kipindi hiki cha JK hivyo ni vyema kuwa makini na utokaji wa pesa uliyo nayo.

haha we ni mchokozi.
But nimependa hyo mbinu ya kukopesha kidogo.
 
Watu wa dar ndio wanaongooza kwa kuishiwa wakisaidiwa wanajifanya wajanja
 
kuna jamaa yangu anayeishi dar nilimkopesha tsh 200,000 mwezi desemba 2012 kwa ahadi ya kurudisha ndani ya mwezi 1.
Nina jaribu kumwomba anirudishie anakua mkali,anasema hana fedha kama polisi nimpleke,kwanza yeye ni mtoto wa mjini(dar), hakuna mtu yeyote wa mkoani anambabaisha wa mkoani wote washamba tu na vijidudumtu.

wanaJF uyu bwana katumia defence mechanism ili nisimdai,na mbaya zaidi hatukuandikishia kwani nilimuamini.

je Kuna mbinu yoyote ya kumfanya uyu bwana anilipe? au niandike maumivu

Weka tu picha yake utasaidiwa mbona unalialia kama hujui kucheza na technolojia haujafikaga Dar nini? Siku hizi hatuzungukagi kumtafuta mtu tunatumia milingoti ya simu kuisoma destination yake tunampata, hata asipopokea simu unatuma msg ikideliver unaanzia hapo mkuu. Muwe mnakuja Dar kujifunza maujanja
 
mh ila jamaa kanizidi kama miaka10 alafu bonge la mtu ndio maana natafuta diplomatic kwanza.

Nimekuambia ngumi za kushtukiza,...acha uoga,...wish ningekuwa mimi mbona angefurahi kuniambia huu upuuzi wakati ni haki yangu
 
Dar sipapendi sasa hivi so crowded huwezi endesha gari kwa raha foleni .nafikiria kujenga another vacation home far from
Daresalaam .yaani nikijaga bongo mimi na basi tu maana gari duh nomaaa.muda umefika watu kujenga mikoa mingine.

Unajua nini maana ya kuishi....wewwe mtu hawezi kukuzingua.
 
Dar sipapendi sasa hivi so crowded huwezi endesha gari kwa raha foleni .nafikiria kujenga another vacation home far from
Daresalaam .yaani nikijaga bongo mimi na basi tu maana gari duh nomaaa.muda umefika watu kujenga mikoa mingine.

Unajua nini maana ya kuishi....wewwe mtu hawezi kukuzingua....another drink for you plz.
 
Weka tu picha yake utasaidiwa mbona unalialia kama hujui kucheza na technolojia haujafikaga Dar nini? Siku hizi hatuzungukagi kumtafuta mtu tunatumia milingoti ya simu kuisoma destination yake tunampata, hata asipopokea simu unatuma msg ikideliver unaanzia hapo mkuu. Muwe mnakuja Dar kujifunza maujanja

Dar nimeishi 2004---2010, nasizaini kila mtu ni expert wa technolojia,ndio maana tunatumia JF kubadilishana uzoefu.
 
Back
Top Bottom