Mawazo yako nayafananisha na ya rafiki yangu nilimwacha darasa la saba akisema hata baba yake aliishia la saba leo anajuta, na wewe muda wa kujuta hauko mbali ila leo unaweza kujifurahisha hapa JF.Asilazimishe madhara, maisha yetu tangu nyerere ni hivi hivi tofauti kidogo..