Kuiper Belt: Behind the certain

Mkuu unajuaje kama watu hapa hawajajiuliza kuhusu haya yote?
 
Unapoteza wakati wako mkuu.Hawa watu wa namna hii wapokwaajili ya kupinga tu na siyo kuleta suluhu au mjadala wenye mantiki...

Kama mtu anajinadi kuelewa hadi anakuambia atakachokisema hutakielewa huyo utawezana naye kweli?

Watu wenye weledi na michango kwenye jamii yoyote wanaleta suluhu siyo majigambo.Jamaa anajiona anaelewa sana mambo na sisi hapa ni mambulula tu....

Huyo ni wa kuachana naye tu mkuu...
 
Asante kwa Uzi hawa viumbe wanaeasiliana na binadamu kwa Njia IPI na kwa lugha IPI?
Swali lako limelijibu kwenye mada na baadhi ya post mkuu wangu.hebu jaribu kutumia ka muda kidogo kupitia upya utaona mengi tu mkuu....
 
Provoking articles :-

Sio lazima uamini, ila soma kwa wakati wako, tafakari, endelea na safari ya JF..

Aliens may already be here, space exec says | Aliens may already be here, space exec says
: Six frontiers for alien life via @msnbc

New Potentially Habitable Planet with Possible Alien Life Discovered by UNSW Team New Potentially Habitable Planet with Possible Alien Life Discovered by UNSW Team > SilentCircle

Do science and evolution go hand in hand? Do science and evolution go hand in hand?

Humans Evolved Somewhere Else In The Galaxy - We Are Aliens On Our Own Planet - Scientist Says | MessageToEagle.com Humans Evolved Somewhere Else In The Galaxy - We Are Aliens On Our Own Planet - Scientist Says | MessageToEagle.com

The 12 most compelling scientific findings that suggest aliens are real The 12 most compelling scientific findings that suggest aliens are real via @BIUK_Tech
 
Kivipi mkuu?

Nahitaji ufafanuzi zaidi mkuu...
Kwasababu kama umejiuliza Alien ni kitu gani, Uhai ni nini, mazingira gani ya razima ili uhai uwepo na kivipi tunaweza hakikisha kama alien wapo. Basi huwezi kukubalina na huu uzi na wasio kubaliana nawe naona wanapingwa, nimeona mmoja hapo juu...
 
Kwasababu kama umejiuliza Alien ni kitu gani, Uhai ni nini, mazingira gani ya razima ili uhai uwepo na kivipi tunaweza hakikisha kama alien wapo. Basi huwezi kukubalina na huu uzi na wasio kubaliana nawe naona wanapingwa, nimeona mmoja hapo juu...
Kwanini uwepo wa Aliens ukinzane na uwepo wa au maana nzima ya maisha?

Huyo hapo juu hajapingwa tu hivi hivi bali hakuna alichokieleza kinachoeleweka zaidi ya kuzunguka bila maelezo ya maana.....
 
Je maisha yao yanaunasaba gani maisha ya binadam,wanatumia usafiri gani kuja duniani
 
Man you cant beat the bold! That guy is special. He was born to do do what he does. Baki msomaji kama mimi. Sio lazima wote tuandike. Makala ndeeefuu hadi usingizi. Acha kujaza server kwa nonsensical threads
Watu wenye akili kama zako ni kikwazo katika maendeleo....

Umetumia nguvu nyingi kuandika kitu ambacho ni upuuzi WA kiwango cha degree,

JF ni jukwaa huru Na hakuna anaye lazimishwa kuweka comment yake kwenye post fulani, ukiona andiko halijakupendeza ni bora ukae kimya kuliko huu upuuzi ulio uandika hapa..

Waandishi wanatumia nguvu kubwa sana mpaka hizi taarifa zinatufikia katika hali iliyo rahisishwa zaidi, hata mkuu The Bold atahuzunika sana akiona huo upuuzi ulio uandika...
 
Wakati nasoma hii makala yako ndugu muandishi, nilijikuta nasafiri Safari ya mbali sana kifikra juu ya mambo uliyo yaelezea...

Bado niko safarini kifikra ndugu lakini Nimatumaini yangu Nitarudi Salama na kupata majibu mazuri ya masuali ninayo jiuliza...

Sitaki kukataa wala kukubali lakini kitu kikubwa ninacho kupongeza ni kwamba, UMENIFANYA NIFIKIRI ZAIDI YA UWEZO WANGU ( out of the box)
 
Daah mkuu ulikua na haja gan ya kufanya hicho ulichokifanya, kama hujapendezwa we acha pita kushoto au na huku JF unataka kuleta mambo ya diamond na kiba au mesi na ronaldo??? Badilika
 
Kwa kifupi jamaa siyo intellectual. Kwanza kiungwana alitakiwa amuombe msamaha kwa jinsi alivyochafua watu wengi. Anyway, huenda ndo aliens wenyewe hawataki tuwajue.
 
Pamoja sana mkuu....

tuendelee kufikiri nje ya box ili tuweze kujua mengi....
 
Acha majigambo toa hoja usijifanye fundi sana
 
Acha majigambo toa hoja usijifanye fundi sana
Hii mada nishaifunga, sina muda kubishana na watu wanaoamini conspiracy theories, from my experience hamna kitu mtaambiwa mkubali maana hata sayansi iliwapita pembeni. So mwisho wa siku we endelea kuamini unachoamini, hainipunguzii kitu.
 
Hii mada nishaifunga, sina muda kubishana na watu wanaoamini conspiracy theories, from my experience hamna kitu mtaambiwa mkubali maana hata sayansi iliwapita pembeni. So mwisho wa siku we endelea kuamini unachoamini, hainipunguzii kitu.
Umiefunga kwani umeanzisha wewe, acha majigambo ya kike sayansi yako kafanye na mumeo
 
thanks kwa Tag mkuu. ila naitwa Merengo90 not Marengo.

nimeisoma, ngoja nikae chini then tutafakari pamoja ila mim nipo ur side on this, kuwa kuna super existance beings wapo na wanajifunua kwa namna mingi thou source yao ni moja.....

I ll be ryt back
 
Pamoja sana mkuu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ