mkuu shosti kuwa makini, siku nyingine utastukia badala ya kidole, abdallah kichwa wazi ameshaingia tigoni, hahahaasasa bora cha mbele...kuna kile cha tigo eti wanaangalia kidole tumbo!
.
Juzi kuna dada kaja na maumivu kama yako na akiulizwa kama kunauchafu unatoka anakataa nilipompima nilikuta uji umejaa balaa sijui hata mumewe anaenjoy vp na ile miuji.
Wakati mwingine kuna masister do wanakuja wanaringa na dharau au warembo watu kama hawa wakija akikaa vibaya nampiga finger.
Hahahaha,mbona hiyo ni kawaida,tena ukibeba mimba,DR anaingiza vidole kuangalia njia.
JF nikikukosa NITAKUNYWA SUMU JUU YAKO...
kichwa waziiii thubutu...mara ya kwanza nilitoa mjicho ila nikagundua ni kipimo cha kawaida baada ya kufanyiwa zaidi ya mara moja na madr tofauti mwingine wa akiwa jinsia yangumkuu shosti kuwa makini, siku nyingine utastukia badala ya kidole, abdallah kichwa wazi ameshaingia tigoni, hahahaa
kichwa waziiii thubutu...mara ya kwanza nilitoa mjicho ila nikagundua ni kipimo cha kawaida baada ya kufanyiwa zaidi ya mara moja na madr tofauti mwingine wa akiwa jinsia yangu
Kwa mwanamke ukishasema tumbo linauma your very complex, kwa kawaida lazima akuulize kama kuna uchafu unatoka ukeni, unapokojoa mkojo unauma, unaharisha au unajua vidonda vya tumbo. Yote haya yanaweza sababisha maumivu chini ya kitovu.
Wanawake almost 90% ukitoka uchafu mweupe kama maziwa yaliyo ganda watakwambia uchafu wa kawaida. Infact hii ni fungus na inasababisha sana maumivu chini ya kitovu. Dr asipochunguza kwa kuweka vidole ukeni unaweza ukanywa madawa aina zote na usipone. Kwa hiyo dada hii ni kawaida. Juzi kuna dada kaja na maumivu kama yako na akiulizwa kama kunauchafu unatoka anakataa nilipompima nilikuta uji umejaa balaa sijui hata mumewe anaenjoy vp na ile miuji.
Lakini huruhusiwi kuingiza vidole kwa binti ambaye ni bikra coz eneo la ukeni huwa tunaamini ni safi na si busara kuvuja bikra ya watu.
Wakati mwingine kuna masister do wanakuja wanaringa na dharau au warembo watu kama hawa wakija akikaa vibaya nampiga finger.
Pole kama hukuandaliwa kawaida Dr anatakiwa kuseek consent kwako mpaka ukubali ukikataa harusiwi kukufanyia kipimo chochote bila ridhaa yako. Be blessed.
Umeeleza vizuri nikavutika na utaalam wako ila hizo paragraph mbili hapo juu ''hujafanya vyema kutoa siri ya mgonjwa'' pia inaonyesha maadili hamna kwa kumkomoa mgonjwa kisa muonekano na tabia. Kama wewe ni Daktari basi timiza wajibu wako na weka maadili mbele ni jambo jema, hizo mbwembwe waachie wenyewe Mkuu. Utaleta gari yako garage na mie nikupige spare fake utajisikiaje? au niseme gari litapona baada ya siku 2 ili kukukomoa tu...haipendezi!
boss sijatangaza siri ya magonjwa hapa sijataja jina na wala sijataja mahali anapoishi, na hii nimeitoa kama experience ili huyu aliyejisikia vibaya ajue hakuna Dr mwenye nia mbaya ila lengo ni kumsaidia. Wakati mwingine naweza ona kitu ambacho mgonjwa hakijui. Hili ndo lengo la kutoa ushuhuda.
Kuhusu nyingine hiyo nyingine is just chit chat, hata unapofundisha ni vema ukaishia na kibwagizo ili kukazia maarifa. Nimeamini kumbe umeelewa maelezo yangu. Good my student
Watu wengine ni wa ajabu kweli..ushamba tu unawasumbua na ulimbukeni
Watu wengine ni wa ajabu kweli..ushamba tu unawasumbua na ulimbukeni
Kwa mwanamke ukishasema tumbo linauma your very complex, kwa kawaida lazima akuulize kama kuna uchafu unatoka ukeni, unapokojoa mkojo unauma, unaharisha au unajua vidonda vya tumbo. Yote haya yanaweza sababisha maumivu chini ya kitovu.
Wanawake almost 90% ukitoka uchafu mweupe kama maziwa yaliyo ganda watakwambia uchafu wa kawaida. Infact hii ni fungus na inasababisha sana maumivu chini ya kitovu. Dr asipochunguza kwa kuweka vidole ukeni unaweza ukanywa madawa aina zote na usipone. Kwa hiyo dada hii ni kawaida. Juzi kuna dada kaja na maumivu kama yako na akiulizwa kama kunauchafu unatoka anakataa nilipompima nilikuta uji umejaa balaa sijui hata mumewe anaenjoy vp na ile miuji.
Lakini huruhusiwi kuingiza vidole kwa binti ambaye ni bikra coz eneo la ukeni huwa tunaamini ni safi na si busara kuvuja bikra ya watu.
Wakati mwingine kuna masister do wanakuja wanaringa na dharau au warembo watu kama hawa wakija akikaa vibaya nampiga finger.
Pole kama hukuandaliwa kawaida Dr anatakiwa kuseek consent kwako mpaka ukubali ukikataa harusiwi kukufanyia kipimo chochote bila ridhaa yako. Be blessed.
Hahahaha,mbona hiyo ni kawaida,tena ukibeba mimba,DR anaingiza vidole kuangalia njia.
Even when performed by a male Gynecologist the presence of a female professional (Med Doctor au hata Nurse) is required.A host of ethical issues bordering on a thinly medically disguised rape.
At the minimum, such procedures should be performed by a professional of the same sex, not that a butch gyno couldn't raise the same concerns.