Kuingiza Sukari Tanzania

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Habari zenu wakubwa

Nimepata line ya kuingiza sukari Tanzania baada ya kukutana na wafanyabiashara hiyo Dubai (sukari haitokei Dubai bali hawa jamaa wana base hapa)


Naweza kupewa tani nitakazo lakini jamaa bado sijakubaliana nao kitu

sasa naskia biashara ya sukari ina syndicate tanzania yaani Mohd entreprises, bakhressa peke yao

Je wanunuzi wakubwa wa sukari ni serikali au watu binafsi?

Je Tanzania soko lipo?

Je chajuu changu ni negotiate na nani?

Inalipa?
 
Sukari toka Dubai????

Siyo toka Zambia ama Malawi hata????
Nina mashaka kidogo!
Ila ngoja wadau waje!

Majibu mazuri utapata!
 
Sukari toka Dubai????

Siyo toka Zambia ama Malawi hata????
Nina mashaka kidogo!
Ila ngoja wadau waje!

Majibu mazuri utapata!
Hukunielewa kaka

jamaa nilikutana nao hapa Dubai ni wafanya baishara wanapeleka Sukari kwa meli nchi mbali mbali duniani

Dubai ni kama ofisi tuu kaka
 
Habari zenu wakubwa

Nimepata line ya kuingiza sukari Tanzania baada ya kukutana na wafanyabiashara hiyo Dubai (sukari haitokei Dubai bali hawa jamaa wana base hapa)

Naweza kupewa tani nitakazo lakini jamaa bado sijakubaliana nao kitu

sasa naskia biashara ya sukari ina syndicate tanzania yaani Mohd entreprises, bakhressa peke yao

Je wanunuzi wakubwa wa sukari ni serikali au watu binafsi?

Je Tanzania soko lipo?

Je chajuu changu ni negotiate na nani?

Inalipa?

Mkuu hivi ulishawahi kufanya biashara yoyote? Mbona unauliza cha juu upatane na nani? Kuna hao Supplier --- Wewe ---- Buyers (private enterprise, wholesalers ...). Hapo unategemea unegotiate na nani? Anyway hayo tuyaache, mimi nitakujibu kwenye RED tu hiyo conspiracy watakuja kukujibu wenye data

Je wanunuzi wakubwa wa sukari ni serikali au watu binafsi?
Wanunuzi wakubwa si Serikali, bali ni viwanda (private enterprise); hawa hununua in bulky, na watu binafsi; hawa hununua rejareja. Sasa soko zuri kwako ni wauzaji wa jumla na watu wenye viwanda.

Je Tanzania soko lipo?
Soko lipo, na demand ni kubwa kuliko Spply ndio maana bei inapanda kila kukicha (ingawa kupanda kwa bei kumechangiwa pia na kupanda kwa gharama za uzalishaji)

Inalipa?

Kama soko lipo ina maana inalipa
 
Mkuu hivi ulishawahi kufanya biashara yoyote? Mbona unauliza cha juu upatane na nani? Kuna hao Supplier --- Wewe ---- Buyers (private enterprise, wholesalers ...). Hapo unategemea unegotiate na nani? Anyway hayo tuyaache, mimi nitakujibu kwenye RED tu hiyo conspiracy watakuja kukujibu wenye data

Je wanunuzi wakubwa wa sukari ni serikali au watu binafsi?
Wanunuzi wakubwa si Serikali, bali ni viwanda (private enterprise); hawa hununua in bulky, na watu binafsi; hawa hununua rejareja. Sasa soko zuri kwako ni wauzaji wa jumla na watu wenye viwanda.

Je Tanzania soko lipo?
Soko lipo, na demand ni kubwa kuliko Spply ndio maana bei inapanda kila kukicha (ingawa kupanda kwa bei kumechangiwa pia na kupanda kwa gharama za uzalishaji)

Inalipa?

Kama soko lipo ina maana inalipa
Kamanda nimekupata lakini nilitaka tuu kujua maana sijawahi kuifanya hii biashara na sijui mambo ya kodi na mengineyo kama niliyokuuliza yanakwendaje.


Kuhusu kamisheni ukweli ni kuwa sijajua watu wanalipwa vipi yaani shilingi ngapio kwa Tani.

lakini mie naona bora ni negotiate na hawa waingizaji ambao najua watakuwa na maximum bei wanayotaka kuuza lakini pia wanunuzi hao wa bulk najua wakiona bei ni ya chini watataka kujifanya wanawajua hawa jamaa ili waniondoe mimi middle man

ninafkiria kuwasainisha waingizaji mkataba wa kuwa mtu wao Tanzania lakini kwa akili za wafanya biashara wataona mimi nafaidia lakini lazima nilinde maslahi yangu si unajua hali ngumu sana kwetu sie ma mido men?

Je wanunuzi wa bulk ndio hao akina baaresa na zakaria tuu au?
 
Mkuu hivi ulishawahi kufanya biashara yoyote? Mbona unauliza cha juu upatane na nani? Kuna hao Supplier --- Wewe ---- Buyers (private enterprise, wholesalers ...). Hapo unategemea unegotiate na nani? Anyway hayo tuyaache, mimi nitakujibu kwenye RED tu hiyo conspiracy watakuja kukujibu wenye data

Je wanunuzi wakubwa wa sukari ni serikali au watu binafsi?
Wanunuzi wakubwa si Serikali, bali ni viwanda (private enterprise); hawa hununua in bulky, na watu binafsi; hawa hununua rejareja. Sasa soko zuri kwako ni wauzaji wa jumla na watu wenye viwanda.

Je Tanzania soko lipo?
Soko lipo, na demand ni kubwa kuliko Spply ndio maana bei inapanda kila kukicha (ingawa kupanda kwa bei kumechangiwa pia na kupanda kwa gharama za uzalishaji)

Inalipa?

Kama soko lipo ina maana inalipa

Hapo kwenye inalipa inadepend,usisahau huyu jamaa anasafirisha hiyo sukari from sijui brazili au dubai na inahitaji gharama,hatujui ananunua huko kwa bei gani,hatujui kodi atalipa kiasi gani,hata kama demand ikiwa kubwa lakini lazima ataendana na bei ya soko.kwa hiyo anahitaji mchakato mkubwa wa mahesabu na uchunguzi wa kina.
 
Hapo kwenye inalipa inadepend,usisahau huyu jamaa anasafirisha hiyo sukari from sijui brazili au dubai na inahitaji gharama,hatujui ananunua huko kwa bei gani,hatujui kodi atalipa kiasi gani,hata kama demand ikiwa kubwa lakini lazima ataendana na bei ya soko.kwa hiyo anahitaji mchakato mkubwa wa mahesabu na uchunguzi wa kina.

Nakubali Mkuu, hapo ulivyoliweka, limekaa vizuri zaidi. Cha msingi ni kufanya utafiti kama ulivyosema na kushughulikia vibali husika kwan si kila mtu anaweza akaagiza hii kitu
 
mkuu hi biashara inalipa sana ,lakini inaonekana swali lako lina base kwenye pricing tuuu , tafuta clearing agency au mtu wa tra akupe estimate ya kodi , wadau humu watakupa bei za jumla za sukari kwa sasa , kwa hiyo we uapiga hesabu yako kila tani unaweza pata faida gani lakini kwa ufupi mzigo ukitua tanzania unauzika ...ukiweza kupata link kenya na uganda ndio balaa , urudi utupe feedback .
 
Jua kuwa unaitaji leseni ya sugar import toka bodi ya sukari hapa ndo kuna muziki munene

Na mara nyingi vibali hutolewa mwaka mmoja kabla.Yaani wale consumer wakubwa ie wenye viwanda wanapeleka quota zao kwa hiyo inakuwa planned kabisa the following year so and so will import this much !
 
Hapo kwenye inalipa inadepend,usisahau huyu jamaa anasafirisha hiyo sukari from sijui brazili au dubai na inahitaji gharama,hatujui ananunua huko kwa bei gani,hatujui kodi atalipa kiasi gani,hata kama demand ikiwa kubwa lakini lazima ataendana na bei ya soko.kwa hiyo anahitaji mchakato mkubwa wa mahesabu na uchunguzi wa kina.

Hapo kwenye RED Import Duty ya sukari (BROWN SUGAR) ni 100% or 200$ per mt (which ever is higher).Usishangae kwa nini sukari ni ghali nchini, hapo hujazungumzia port charges wala VAT
 
Back
Top Bottom