Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Habari zenu wakubwa
Nimepata line ya kuingiza sukari Tanzania baada ya kukutana na wafanyabiashara hiyo Dubai (sukari haitokei Dubai bali hawa jamaa wana base hapa)
Naweza kupewa tani nitakazo lakini jamaa bado sijakubaliana nao kitu
sasa naskia biashara ya sukari ina syndicate tanzania yaani Mohd entreprises, bakhressa peke yao
Je wanunuzi wakubwa wa sukari ni serikali au watu binafsi?
Je Tanzania soko lipo?
Je chajuu changu ni negotiate na nani?
Inalipa?
Nimepata line ya kuingiza sukari Tanzania baada ya kukutana na wafanyabiashara hiyo Dubai (sukari haitokei Dubai bali hawa jamaa wana base hapa)
Naweza kupewa tani nitakazo lakini jamaa bado sijakubaliana nao kitu
sasa naskia biashara ya sukari ina syndicate tanzania yaani Mohd entreprises, bakhressa peke yao
Je wanunuzi wakubwa wa sukari ni serikali au watu binafsi?
Je Tanzania soko lipo?
Je chajuu changu ni negotiate na nani?
Inalipa?