Kuileta Madrid Bongo ni kituko

Kuileta Madrid Bongo ni kituko

Siyo siri huyu bwana angekuja kwetu imarate akatubadilishia mchezo tukaacha kupaka wanja na kutafuta ubingwa na si ball possession ningefurahi kweli, tatizo ni maneno mengi but he must be the best coach, this i must say!
 
Hofu yangu ni mfumo wake wa uchezaji, ataiharibu Madrid bure kwa soka mbovu.
Butola umenena. Tradition ya 'Estadio Santiago Bernabeu' siyo compatible kabisa na methods za Mourinho. Treatment anayopata sasa kutoka kwa Wataliano ni cha mtoto kulinganisha na dhahma atakayopata Spain ambako wanaabudu sana flamboyance. Huyu bwana mdogo na pragmatic (boring) tactics zake atamwagwa siku si nyingi baada ya kufika pale!!
 
Siyo siri huyu bwana angekuja kwetu imarate akatubadilishia mchezo tukaacha kupaka wanja na kutafuta ubingwa na si ball possession ningefurahi kweli, tatizo ni maneno mengi but he must be the best coach, this i must say!

budget yetu hatoiweza kwani anapenda mastaa sana na sisi hatuna hela ya kununua mastaa.
 
Matokeo ya game za leo so far;

Barca 3 Valladolid 0(game yaelekea dakika ya 75)

Malaga 1 Real Madrid 1(gaem yaelekea dakika ya 75 pia)

Kwa matokeo haya na muda uliobaki ina maana kwamba Barca ni mabingwa tayari...........Hongereni Baarca fans(mkiongozwa na Firstlady1)
 
Mhhhhhhhhhhhh,huyu Messi huyu.........kaongeza la 4..........Barca 4 Valladolid 0
 
Game zimeisha................Barca are the champs...........tusubiri mwakani
 
Ngosha, kila kila timu unayoshangalia mwaka huu inaangukia pua..World Cup unashangilia timu gani ili nianze mapema kuchagua timu ingine? loool
 
Ngosha, kila kila timu unayoshangalia mwaka huu inaangukia pua..World Cup unashangilia timu gani ili nianze mapema kuchagua timu ingine? loool

Bwana weee,sijui kwa nini ati...Yanga,Arsenal,Juve,Real Madrid........noma kweli.....

Mimi WC nina timu 2 aisee........Spain na Netherlands
 
Bwana weee,sijui kwa nini ati...Yanga,Arsenal,Juve,Real Madrid........noma kweli.....

Mimi WC nina timu 2 aisee........Spain na Netherlands
Mji mpwapwa ulihama? naona hujataja timu zote unazoshangilia!...

Kama wewe Spain na Netherlands, basi mimi nachukuwa timu zingine maana wewe historia yako inaonesha timu unazopenda huwa hazishindi, nina mifano
 
Mimi nimeangukia pua kama nilivyotabiri Masikini timu yangu RM. sasa narudi kwenye timu yangu nyingine ya BRAZIL. Naipenda timu hii tangu iDREAM TIMU YA BRAZIL YA MWAKA 1970 mfano wao ni Pele, Jairzhino. Riverino, Clodoaldo, Captain Carlos Alberto, Brito, Ze Maria, mkongwe FELIX (GK), Tostao na Julio CEISAR
 
Mji mpwapwa ulihama? naona hujataja timu zote unazoshangilia!...

Kama wewe Spain na Netherlands, basi mimi nachukuwa timu zingine maana wewe historia yako inaonesha timu unazopenda huwa hazishindi, nina mifano
Lol...............Utahamia timu gani sasa.............Brazil????????...........ama England
 
We Timu gani kwani Belo?........Brazil??????????????????

Timu zangu zote wasiwasi safari hii
EUROPE-AZZURI kina Gatusso wameshazeeka,ntashabikia pia SERBIA & HOLLAND
S.AMERICA-ARGENTINA tuna wachezaji wazuri but kocha bomu
AFRICA-EGYPT hawajaingia timu nyingine ni CAMEROON but nitasupport timu zote za Africa ingawa tutakuwa wasindikizaji
ASIA-South Korea
Nyingine vijana wa OBAMA(USA),MEXICO & AUSTRALIA
 
Timu zangu zote wasiwasi safari hii
EUROPE-AZZURI kina Gatusso wameshazeeka,ntashabikia pia SERBIA & HOLLAND
S.AMERICA-ARGENTINA tuna wachezaji wazuri but kocha bomu
AFRICA-EGYPT hawajaingia timu nyingine ni CAMEROON but nitasupport timu zote za Africa ingawa tutakuwa wasindikizaji
ASIA-South Korea
Nyingine vijana wa OBAMA(USA),MEXICO & AUSTRALIA

EGYPT wangekuwepo wangesumbua sana......kwa Africa nina matumaini kidogo na Ghana,wanaweza kufika Robo fainali...Mimi Timu zangu nyingine ni Portugal(japo si wazuri sana zama hizi) na Argentina
 
Bwana weee,sijui kwa nini ati...Yanga,Arsenal,Juve,Real Madrid........noma kweli.....

Mimi WC nina timu 2 aisee........Spain na Netherlands

Spain na Netherlands hawana historia WC hivo kaa kawa andaa mikeka na majamvi ya msiba..lol
 
Spain na Netherlands hawana historia WC hivo kaa kawa andaa mikeka na majamvi ya msiba..lol

Mpemba........Historia si huwa inabadilika bana..........We si uliona Spain walivofanya EURO......Yaani mpaka sasa mi naona Spain ndo wana kikosi cha ubingwa hasa......Tusubiri na tuone
 
Mpemba........Historia si huwa inabadilika bana..........We si uliona Spain walivofanya EURO......Yaani mpaka sasa mi naona Spain ndo wana kikosi cha ubingwa hasa......Tusubiri na tuone

Historia hubadilika ila mara chache sana, pia kumbuka Euro 2008 ilikuwa miaka 2 iliopita, sasa hivi ni 2010 mkulu.
 
Historia hubadilika ila mara chache sana, pia kumbuka Euro 2008 ilikuwa miaka 2 iliopita, sasa hivi ni 2010 mkulu.

Noted..........Ila nina imani sana na kikosi cha Spain ukilinganisha na vikosi vingine
 
GHANA wana timu nzuri ingawa wana majeruhi Essien na Appiah but tatizo ni kundi walilopangwa GERMANY,SERBIA & AUSTRALIA sidhani kama watachomoka .Wazungu wajanja sana zile timu za Africa zenya afadhali zimepangwa makundi magumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom