Kuileta Madrid Bongo ni kituko

Kuileta Madrid Bongo ni kituko

Wanachotaiwa kufanya ni kusajili mabeki(wa kati) hawa waliopo akina Pepe na wenzake wamechoka......Timu iko safi sasa...Ubingwa wawezekanika

Mkuu Balantanda, kwangu mimi naona beki ya kati sio tatizo hivyo, Pepe sio mchovu, kumbuka kuumia kwake ndio kumetuathiri kwa kiasi fulani hasa pale mwanzoni. Binafsi naona timu haihitaji wachezaji wengi, kwanza kabisa nadhani ni kushughulikia ubavu wa kushoto kwa kufanya moja kati ya haya mawili, au kununua beki tatu ambaye kabobea kwenye ukabaji tu na kumpeleka Marcelo wing ya kushoto. Au kupandisha kumwacha Marcelo aendelee kucheza kama beki tatu (kwa vile mwaka huu kaimprove sana katika ukabaji na hivyo akipewa muda zaidi anaweza kuendelea zaidi ya hapo) na kutafuta kiungo wa kushoto. Guti keshatangaza kuondoka mwishoni mwa msimu, hivyo nafasi yake ijazwe na kijana kabisa, nadhani Canales anaweza kuja kufanya hiyo kazi na Raul hatujui kama ataondoka au la.
Kingine msimu huu tumekosa kiongozi tuwapo uwanjani, maana Raul kiongozi wetu amekuwa mtu wa kuingia dakika za mwisho mwisho, hivyo nadhani kwa msimu ujao ni vema kumsimika rasmi Xabi Alonso (ugeni utakuwa umeisha) kama kiongozi wa ndani, maana Casillas yeye anakuwa mbali kidogo hivyo kuhamasishainamuwia ngumu. Nasema tunahitaji kiongozi kwa vile ukiangalia mechi kama za Barça, ndio wanacheza kiwango kizuri lakini tulipoteza kwa sababu tulikosa kiongozi wa ndani ya uwanja.
 
Money cannot buy.................Huu ni msemo mahususi wa hawa ma giant wanajifanya ndo Number 1 kwa kiwango cha soka Barani Ulaya. Real Madrid + CCM= 1

Hahaaaaaaaaaa.....Hwajifanyi bana,wako juu...uongo kwani???..We fikiria ubingwa wa La Liga mara 31 na ubingwa wa UEFA CL mara 9 bado tu useme wanajifanya namba 1....hahaaaaaaaaaaa
 
Mkuu Balantanda, kwangu mimi naona beki ya kati sio tatizo hivyo, Pepe sio mchovu, kumbuka kuumia kwake ndio kumetuathiri kwa kiasi fulani hasa pale mwanzoni. Binafsi naona timu haihitaji wachezaji wengi, kwanza kabisa nadhani ni kushughulikia ubavu wa kushoto kwa kufanya moja kati ya haya mawili, au kununua beki tatu ambaye kabobea kwenye ukabaji tu na kumpeleka Marcelo wing ya kushoto. Au kupandisha kumwacha Marcelo aendelee kucheza kama beki tatu (kwa vile mwaka huu kaimprove sana katika ukabaji na hivyo akipewa muda zaidi anaweza kuendelea zaidi ya hapo) na kutafuta kiungo wa kushoto. Guti keshatangaza kuondoka mwishoni mwa msimu, hivyo nafasi yake ijazwe na kijana kabisa, nadhani Canales anaweza kuja kufanya hiyo kazi na Raul hatujui kama ataondoka au la.
Kingine msimu huu tumekosa kiongozi tuwapo uwanjani, maana Raul kiongozi wetu amekuwa mtu wa kuingia dakika za mwisho mwisho, hivyo nadhani kwa msimu ujao ni vema kumsimika rasmi Xabi Alonso (ugeni utakuwa umeisha) kama kiongozi wa ndani, maana Casillas yeye anakuwa mbali kidogo hivyo kuhamasishainamuwia ngumu. Nasema tunahitaji kiongozi kwa vile ukiangalia mechi kama za Barça, ndio wanacheza kiwango kizuri lakini tulipoteza kwa sababu tulikosa kiongozi wa ndani ya uwanja.

Hapo kwenye kupandisha, nilikuwa namaanisha kumpandisha beki mmoja toka Castilla, kuna beki mmoja kule kiwango chake ni kizuri kabisa hivyo angeweza kuja kusaidiana na Marcelo na mara moja moja kumchezesha Albeloa.
 
Money cannot buy.................Huu ni msemo mahususi wa hawa ma giant wanajifanya ndo Number 1 kwa kiwango cha soka Barani Ulaya. Real Madrid + CCM= 1
<br> <br>wanajifanya kivipi wakati mambo yao yanaonekana na kila mtu? wahesabie makombe waliyo nayo. yaani kwa timu pinzani kama Barcelona kufikia rekodi za Real Madrid, inabidi Real Madrid waache kushiriki liki kwa miaka 40 ijayo! sasa unadhani ya mchezo hayo?<br>
 
Hapo kwenye kupandisha, nilikuwa namaanisha kumpandisha beki mmoja toka Castilla, kuna beki mmoja kule kiwango chake ni kizuri kabisa hivyo angeweza kuja kusaidiana na Marcelo na mara moja moja kumchezesha Albeloa.

Safi sana mkuu,nimeksuoma vizuri sana tangu hapo juu...hope this will help
 
Safi sana mkuu,nimeksuoma vizuri sana tangu hapo juu...hope this will help
<br><br>pamoja mkuu! bila kusahau Pellegrin aachwe kuandelea na kazi yake aliyoianza, msimu ujao tutafutahi zaidi ya huu.<br> <br>
 
Real Madrid 5 Athletic Bilbao 1

Sevilla 2 Barcelona 3

Hii ligi nayo imekuwa na ushindani sana mwaka huu....Kama EPL
 
Real Madrid 5 Athletic Bilbao 1

Sevilla 2 Barcelona 3

Hii ligi nayo imekuwa na ushindani sana mwaka huu....Kama EPL

ni kweli mkubwa, upinzani umekolea sana mwaka huu. Ila leo ndio tulikuwa na matumaini makubwa, wiki ijayo ni vigumu sana Barça kupoteza point wakiwa kwao. Ni matumaini yangu msimu ujao utakuwa mzuri zaidi kwetu.
 
Real Madrid 5 Athletic Bilbao 1

Sevilla 2 Barcelona 3

Hii ligi nayo imekuwa na ushindani sana mwaka huu....Kama EPL
Mwaka huu unakazi kwelikweli maana hakuna kombe utakalochukuwa....yanga,arsenal,real madrid, mji mpwapwa etc----
 
KWA TAARIFA YAKO...
Msimu huu wa ligi ya mabingwa barani europa kilabu hiki cha real Madrid kiliwakaribisha wazee sugu ktk dimba la el santiago Bernabeu club ya Asozzionale di Calcio Milan ama AC Milan.

Milan wakiwa chini ya nahodha Massimo Ambrosini waliweza kuwasasambua na kuwapaka hina hao Madrid na kuwala goli 3.

Ktk mechi inayokumbukwa na wapenzi wa soka ulimwenguni ilishuhudia kiungo mshereheshaji anayeaminika kucheza soka la Mbinguni Saint Ronaldo de Assis Moreirra akiwatenda vibaya mabeki na viungo wa Madrid.

Inakumbukwa ktk mechi hiyo Saint Dinho aliweka mpira kifuani kwa kipindi kirefu mno, na kupelekea wapenzi wa Madrid kuanza kumshabikia kila anapogusa mpira.

Kifuatacho ni kikosi cha Milan kilichopeleka msiba Bernabeu.
1. Dida
2. Oddo
3. Zambrota
4. Silva
5. Beki bora wa kati Nesta
6. Pirlo
7. Ambrosini (c)
8. Clarence
9. Super Pippo the Poucher
10. Pato
11. Kijana toka Mbinguni.

Forza Milan
 
Money cannot buy.................Huu ni msemo mahususi wa hawa ma giant wanajifanya ndo Number 1 kwa kiwango cha soka Barani Ulaya. Real Madrid + CCM= 1

Sisi wengine ni washabiki wa RM tangui enzi zakali ALFREDO DI STEFANO Kama sio bora Ulaya angalia hii profile yao

Club profile


Honours

Copa del Rey : 17 (1905, 1906, 1907, 1908, 1917, 1934, 1936, 1946, 1947, 1962, 1970, 1974, 1975, 1980, 1982, 1989, 1993); European Super Cup : 1 (2003); FIFA Club World Cup : 3 (1961, 1999, 2003); Liga BBVA : 31 (1932, 1933, 1954, 1955, 1957, 1958, 1961, 1962, 1963, 1964, 1965, 1967, 1968, 1969, 1972, 1975, 1976, 1978, 1979, 1980, 1986, 1987, 1988, 1989, 1990, 1995, 1997, 2001, 2003, 2007, 2008); Supercopa de Espana : 3 (2002, 2004, 2009); UEFA Champions League : 9 (1956, 1957, 1958, 1959, 1960, 1966, 1998, 2000, 2002); UEFA Europa League : 2 (1985, 1986)

Founded

1902

Stadium

Bernabéu (80354)


Chairman

Florentino Pérez

Coach

Manuel Pellegrini


Colours

Home: All white; Away: All blue or black

Official Site

http://www.realmadrid.com
 
Real Madrid 5 Athletic Bilbao 1

Sevilla 2 Barcelona 3

Hii ligi nayo imekuwa na ushindani sana mwaka huu....Kama EPL

Jumamosi ijayo situation ya Barca na RM nisawa na ya jana jumapili kati ya the blues and red devils. Nasikitika kuwa LA LIGA ubingwa unakwenda tena Barca
 
Jumamosi ijayo situation ya Barca na RM nisawa na ya jana jumapili kati ya the blues and red devils. Nasikitika kuwa LA LIGA ubingwa unakwenda tena Barca

Yeah..ni kweli mkuu....Barca watachukua ubingwa,watakuwa nyumbani Nou Camp kucheza na Valladolid ambao tayari wameshuka daraja,watashinda tu hii game(though in football lolote laweza tokea)...Sisi tutakuwa ugenini kukipiga na Malaga,wagumu hawa...Nasikitika RM wamekumbuka shuka wakati tayari kumekucha...Hope mwakani watakuwa wazuri zaidi...Tusubiri hiyo jumamosi
 
Inter Milan coach Jose Mourinho has fuelled speculation he will move to Real Madrid this summer by admitting he will coach the Spanish giants ''sooner or later''.

josemourinhodrinkswater_275x155.jpg

Jose Mourinho: Linked with Madrid.




Mourinho has been courted by Madrid for years and reports have suggested the Bayern clash in the Champions League final will be his last in Italy before he switches to Madrid and he was doing little to quell the rumours in an interview with Panorama magazine.
''What they write about me having one foot in Madrid and one in Milan is false,'' he said. ''(But) Sooner or later I will coach Real Madrid. I coached a big team in England, I am coaching a big team in Italy, and then I will coach a big team in Spain.''
Mourinho has already led Inter to the Coppa Italia this season and is closing in on a treble. But he has frequently expressed his dissatisfaction with life in Italy.
''I have won everything in three countries and I don't need anything,'' he added. ''But, what makes me laugh is when some presidents compare me to their own coaches who haven't won anything.
''The hypocrisy of Italian football...people come to me and pat me on the back and say 'you're a great coach'. But as soon as I turn my back they attack me. I don't like all this.''
 
hii timu ndio inamfaa mourhino manake kuna unlimited funds na star yoyote anayemtaka atampata hapa.na real madrid huyu ndio kocha anyewafaa i think it will happen this summer.
 
Hofu yangu ni mfumo wake wa uchezaji, ataiharibu Madrid bure kwa soka mbovu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom